Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.