Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu Le Mutuz hajui, hizi live za siku hizi hazirushwi kwa sattelite link, zinatumia kifaa kinachoitwa live view kinatumia ip na kufungwa kwenye camera, hivyo ni camera inarusha live from location kwa kutumia internet na sio sattelite!. Hapa jamaa ni ame bugi step!.'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.
Kwahiyo hiyo hayo matangazo kutoka kwenye "LIVE VIEW" yanaweza kuwafikia watanzania wasio na umeme ?Kuna vitu Le Mutuz hajui, hizi live za siku hizi hazirushwi kwa sattelite link, zinatumia kifaa kinachoitwa live view kinatumia ip na kufungwa kwenye camera, hivyo ni camera inarusha live from location kwa kutumia internet na sio sattelite!. Hapa jamaa ni ame bugi step!.
P
HahahahaKwahiyo hiyo hayo matangazo kutoka kwenye "LIVE VIEW" yanaweza kuwafikia watanzania wasio na umeme ?
Pia TBC1 wanarusha michuanao ya kombe la dunia huku wakijua wananchi hawana umeme na hivyo hawawezi kuona.View attachment 2427760
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.
Hoja ya LeMutz ni sattelite link.Kwahiyo hiyo hayo matangazo kutoka kwenye "LIVE VIEW" yanaweza kuwafikia watanzania wasio na umeme ?
Baba yake miaka aliyokaa madarakani alifanya lipi ili hali isiwe ilivyo.View attachment 2427760
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.
😂😂😂😂😂😂Kwahiyo hiyo hayo matangazo kutoka kwenye "LIVE VIEW" yanaweza kuwafikia watanzania wasio na umeme ?
Alaa kume upo Dodoma?Le mobimba, le American spirit speaking the truth you know!
Anyways, Mimi mkazi wa Dodoma, eneo ninaloishi kwa mara ya kwanza mgao umeanza wiki hii jumatatu. Tulivyoambiwa schedule maintainance umeme ulikua unakatika mara chache, kwa sasa ni mgao wenyewe kabisa na ratiba imetoka.
Huyu ambae anataka ainewe huruma si ni Rais wa nchi? Huruma ya nini tena kama kashindwa kujua nani wa kumsaidia? Si ni Rais mwenyewe toka mwanzo alikuwa ana unga mkono sababu za kijinga za Makamba za kukatika umeme? Mwanzo walisema schedule mantainance kutokana na kutofanyiwa marekebisho miaka mitano ya magufuli ,wakakaja na sababu ya kina cha maji kupungua,wakaja na ukosefu wa mvua...sasa mvua zinanyesha na RC Makalla kathibitisha maji ni mengi na mvua zinatosha sasa watwambie sababu ni nini tena? Huyu anaetaka onewe huruma ndio hutoa meno wakitoa sababu za kijinga!View attachment 2427760
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.
Karibu sana mkuu... Wine zipo zimejaa tele hapo kwa Kato.Alaa kume upo Dodoma?
Naomba unikaribishe kushangaa jiji jipya nirudi na chupa za mvinyo.
Mkuu, nafikiri ni beat him. Not kill him.1. Thriller in Manila
2.Fight of the century
3.Rumble in the Jungle.
Ali Boma Yee ! Ali Kill him.
Babu umepuyanga mno leo [emoji41][emoji41]Hoja ya LeMutz ni sattelite link.
Kwani kuangalia TV yoyote siku hizo ni mpaka uwe na tv sebuleni?, tv karibu zote sasa ni free online, naomba usiniulizie kuhusu charge ya simu na bundle!.
P
Alijenga Kinyerezi akiwa bado Marekani, labda kama hataki kukaa kinyerezi.Lemutuz atupe kwanza mbinu kawezaje kufikisha miaka 63 bado anaishi kwa wazazi