Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Najua JM ataandaa bahasha kumnyamazisha. Naye atanyamaza
kwa hiyo anatafuta upenyo ili ale? Kweli mjini shuleNajua JM ataandaa bahasha kumnyamazisha. Naye atanyamaza
Boma yee! Unajua maana yake πππNchi ngumu sana
Na yeye ni walewale ukoo wa panyaHapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
View attachment 2427760
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.
Rumble in the jungle. Ali boma yee!Boma yee! Unajua maana yake πππ
Rumble in the jungle. Ali boma yee!