Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Its true, ana nyumba Kinyerezi, ana nyumba Mbezi Beach, ana nyumba Upanga pale Sea View na Dodoma ndio usiseme!.Alijenga Kinyerezi akiwa bado Marekani, labda kama hataki kukaa kinyerezi.
Tujikite kwenye kujibu hoja sio viroja.Huyu aliyekuwa anaumwa moyo akaenda kutibiwa kwa ufadhili wa JPM .....sijui na yeye kawekewa kifaa Cha umeme wa moyo, hawa ndio wanasababisha mgao wa umeme
Karithishwa?! Au ni nyumba tofauti na ile ya babake!Its true, ana nyumba Kinyerezi, ana nyumba Mbezi Beach, ana nyumba Upanga pale Sea View na Dodoma ndio usiseme!.
P
Naunga hoja mkonoTujikite kwenye kujibu hoja sio viroja.
Lemutuz hajui tena?Kuna vitu Le Mutuz hajui, hizi live za siku hizi hazirushwi kwa sattelite link, zinatumia kifaa kinachoitwa live view kinatumia ip na kufungwa kwenye camera, hivyo ni camera inarusha live from location kwa kutumia internet na sio sattelite!. Hapa jamaa ni ame bugi step!.
P
Mzee limutuz anazeeka vibaya,, ni wa kuhurumia tu maana shelflife inaelekea tamati hata hivyo, tumpende mzee wetu lemutuzHuyu aliyekuwa anaumwa moyo akaenda kutibiwa kwa ufadhili wa JPM .....sijui na yeye kawekewa kifaa Cha umeme wa moyo, hawa ndio wanasababisha mgao wa umeme
Hakuna ajuaye kila kitu!. Hata Blaza, alipozuia mikutano ya vyama vya siasa, alikuwa hajui kuwa hana mamlaka ile, yeye alipiga marufuku kwa nia njema watu wafanye kazi wasikalie siasa. Live za kule majuu zinatumia sattelite link, live za huku kwetu wanatumia microwave link, sasa internet imemaliza kila kitu!, hata DSTV, sasa huhitaji dish!.Lemutuz hajui tena?
Baba yake miaka aliyokaa madarakani alifanya lipi ili hali isiwe ilivyo.
Mkuu, nafikiri ni beat him. Not kill him.
Alifumua utamaduni wa malandrover na benzi na kuintroduce huduma ya ma vieite. Pia aliitwa j4Baba yake miaka aliyokaa madarakani alifanya lipi ili hali isiwe ilivyo.
BOMA YEE!Its true, ana nyumba Kinyerezi, ana nyumba Mbezi Beach, ana nyumba Upanga pale Sea View na Dodoma ndio usiseme!.
P
BOMA YEE!
Sijui yupo kwenye nywele au nguo?View attachment 2427760
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali umeme haupo sasa wananchi wake watamwona vipi?!' Amehoji Le Mutuz.