Mtoto wa mama mkwe alikuambia nini mpaka ukamkubalia?

Mtoto wa mama mkwe alikuambia nini mpaka ukamkubalia?

Mpaka leo huwa najiuliza ilikuwaje nikamkubalia huyu mpare ERoni
Kweli uchawi upo🙆‍♂️🙆‍♂️
Ni hii midomo yenye mafuta, midomo inayojua kutongoza, halafu na ile kazi inayokufanya uchanganyikiwe kabisa🤣
 
Kuna wanaume wajuzi jamani. Vipi wewe alikuambia nini kikakuingia au akakufurahisha mpaka ukakubali kumpa mbususu?

Mimi kuna kijana wa kinyamwezi, mrefu, mweusi alinitumia hizi meseji baada ya kukutana, mwili wote ukabaki unachoma choma tu. Mbususu alipewa mpaka akanogewa, akaikacha kambi ya kataa ndoa ya Intelligent businessman.

View attachment 3228965

View attachment 3228967
Sisi mashemeji tunaomba kuona picha ya @nakwede97
View attachment 3228968

nakwede97 Nililainika buana, hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😅
 
Back
Top Bottom