Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Mnabadilikaga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnabadilikaga sana
Sawa jiwe, kaza 😅Umetuona na sisi ni mikate mpaka utuletee chai
Hiyo mikate ukiyoishika masikio inatosha mimi ni jiwe
😅 😅 😅 aku mi naogopa!Sasa mbona sikuoni PM jamani Mamaake? Njoo tuyajenge chaap kwa haraka
Ngoja niende nikaombewe😅 😅 😅 aku mi naogopa!
Aisee, alikua fundi sana wa kulainisha 😅Josh amenipa mistari ya kudanganya watoto wa kike
nakwede maana yake ni nini?
Aisee acha kabisa!Alikupasulia nazi, ukajikuta tu unaingia line 😅
Wacha tutumie mistari yake kulainisha wanawake wenzio waachie matundaAisee, alikua fundi sana wa kulainisha [emoji28]
Hapanaaaaa, hapa kuna namna🤣🤣Ni hii midomo yenye mafuta, midomo inayojua kutongoza, halafu na ile kazi inayokufanya uchanganyikiwe kabisa🤣
Nilifanyaje sasa, sijui na sijawahi kukuloga mpenzi wangu...Hapanaaaaa, hapa kuna namna🤣🤣
Ila ni ahadi za uongo uongo ndizo ziliniponza 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Nilifanyaje sasa, sijui na sijawahi kukuloga mpenzi wangu...
Kuna wanaume wajuzi jamani. Vipi wewe alikuambia nini kikakuingia au akakufurahisha mpaka ukakubali kumpa mbususu?
Mimi kuna kijana wa kinyamwezi, mrefu, mweusi alinitumia hizi meseji baada ya kukutana, mwili wote ukabaki unachoma choma tu. Mbususu alipewa mpaka akanogewa, akaikacha kambi ya kataa ndoa ya Intelligent businessman.
View attachment 3228965
View attachment 3228967
Sisi mashemeji tunaomba kuona picha ya @nakwede97
View attachment 3228968
nakwede97 Nililainika buana, hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😅
Acha basi babe🤪🤪Ila ni ahadi za uongo uongo ndizo ziliniponza 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Au alikuroga mkuu.Mpaka leo huwa najiuliza ilikuwaje nikamkubalia huyu mpare ERoni
Kweli uchawi upo🙆♂️🙆♂️
yupo, siku hiyo nili cheka sana 😂🤣.Nan tena huyo mkuu?