Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hueleweki,,tunaongelea vijana waoaji wa 2000 sasa uyo babu tenaaaHujamkuna,anakuoa leoleo...
Mama watoto wake asiharibu future yenu...yeye ni yeye na nyinyi ni nyinyi
We,siyo Babu huyo bhanambona hueleweki,,tunaongelea vijana waoaji wa 2000 sasa uyo babu tenaaa
Determinantor Yani mkituitaga haya majina mnatuchanganya sana kusema za ukweli.Mke Wangu, Mama WA watoto Wetu, malkia Wangu kipenzi. Asante Mama.
inasemekana nawewe ni wa 2000 eti wajameniUkimwona mbwa kwenye sherehe usimtupie jiwe kwa sababu huko amefuata chakula kama wewe🤣
Usinambie ni wa 2000 aseee nianze kujipitishaWe,siyo Babu huyo bhana
Sahihi 100%Usinambie ni wa 2000 aseee nianze kujipitisha
Subiri mrejesho kijumbeSahihi 100%
Ila jf men hawaoi kiukweliUsinambie ni wa 2000 aseee nianze kujipitisha
🤣🤣🤦Subiri mrejesho kijumbe
ghai nimeghairi wacha nirud nilikotoka,,asijeniharibia tutoto twangu hutuIla jf men hawaoi kiukweli
Yeah, ndiyo maana tunashauri date kwa manufaa yako bila kutarajia chochoteghai nimeghairi wacha nirud nilikotoka,,asijeniharibia tutoto twangu hutu
ngoja ni date huku huku mtaani kwetuYeah, ndiyo maana tunashauri date kwa manufaa yako bila kutarajia chochote
hawajakosea kabisainasemekana nawewe ni wa 2000 eti wajameni
Mnabadilikaga sana 😂 utamu safi, majukumu aanhaaWanaume huwa tunakuwa wapole mda wa kuomba mbususu,ngoja dem aje na story za ana mimba sijui ule ukali huwa unatokea wapi
Sasa mbona sikuoni PM jamani Mamaake? Njoo tuyajenge chaap kwa harakaDeterminantor Yani mkituitaga haya majina mnatuchanganya sana kusema za ukweli.
Hasa hiyo mamaaa (njoo gheto, nimekumiss mama) lazima afike.
View attachment 3229139
heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh heh hehhawajakosea kabisa
nakwede maana yake ni nini?Mtoto wa mama mkwe yupi Tena?? Watu hawatak kutuwowa