Mtoto wa mama mkwe alikuambia nini mpaka ukamkubalia?

Mtoto wa mama mkwe alikuambia nini mpaka ukamkubalia?

🤣🤣🤣Ni bebi wako kwani mwee?

Nisamehe bhana,yaan sikomi ...na ndiyo maana wanaibuka na kusema wamenikula wakati hawajanila na wakati huo nataka kuliwa kweli 🤦
Wee sio babe wangu, mi niko single humu..!!
Nilimaanisha namaliza bando la simu yangu kwa kuwasoma nyie mnavyobebishana bhana 😹😹😹
 
Back
Top Bottom