Mtoto wa miaka 14 ashikiliwa na polisi kwa kubaka na kulawiti watoto 2

Mtoto wa miaka 14 ashikiliwa na polisi kwa kubaka na kulawiti watoto 2

Mtoto imekuwaje kuwa mkulima!. Mtoto si bado tupo katika familia ya baba yake au me ndo sielewi.
Ukitwambia mtoto mkulima,Ina maana mtoto alikuwa anajitegemea!.

Mjitafakali waandishi katika kutufikishia taarifa zenu.
 
Baba na mama wanatoka na mtoto anaacha na binti wa kazi sijui,

Mungu awalinde.
Mbona kwenye hili tukio ni mazingira ya kijijini na hata hao watoto waliofanyiwa ukatili sio kwamba walikua wanaachwa na dada wa kazi? Walikua wanaachwa na huyo kaka yao ambae ndie amewafanyia huo ukatili.
 
Jamii ishafeli siku nyingi sana kwenye swala la ulezi.
 
Mbona kwenye hili tukio ni mazingira ya kijijini na hata hao watoto waliofanyiwa ukatili sio kwamba walikua wanaachwa na dada wa kazi? Walikua wanaachwa na huyo kaka yao ambae ndie amewafanyia huo ukatili.
Hii ni nje ya mada,,, maana kuna hirani binti yake alikuwa ana tabia ya kupiga denda na wanae tena wa kike.

Chukueni hatua,
 
Sasa,huko mashuleni wanafundishwa,wanajua kubalehe na kupasua nyungu,sasa theory tayari wamepewa. Watashindwa na kuanza practice?
 
Inspired by wakongwe.

Maarifa ya ushetani ndio ushetani wenyewe. Succession toka kwa wakongwe hiyo.

Urithi wa pekee wa kizazi hiki Cha useless father's n mother's ndio huo.
 
Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara linamshikilia Mtoto mwenye umri wa miaka 14 ambaye ni Mkulima na Mkazi wa Kitongoji cha Chiano Kata ya Nalingu, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kubaka na kulawiti Watoto wawili (pichani) ambao ni Ndugu (Watoto wa Dada yake) ambao alikuwa anaachwa nao nyumbani kama Mlezi pindi Dada yake
Dalili za mwisho wa Dunia hizi!
 
Haya mambo ya 50/50 ndo chanzo wanawake wameacha jukumu lao la msingi malezi ya familia wanakimbilia kushindana n wanaume matokeo yke ndo hayo
 
Back
Top Bottom