Mtoto wa miaka 14 ashikiliwa na polisi kwa kubaka na kulawiti watoto 2

Mtoto wa miaka 14 ashikiliwa na polisi kwa kubaka na kulawiti watoto 2

Vijana wa siku hizi wanapenda sana Ngono sijui hata kwanini Mimi binafsi hili Jambo linanifikirisha Sana ,unakuta binti wa miaka 15 ila anavyoshobokea wanaume hatari huku kijana wakiume anavyoshobokea wanwake hatari


Mimi mpaka miaka 26 niliyonayo sijacheza hata mechi tatu Sasa nashangaa hii Generation z Ina upwiru kiasi gani.?
 
nyege mbaya sana
Nyege ni kitu kibaya Sana ila pia na kukosa Elimu maana Mimi kwetu Bukoba nilianza kuchukia Ngono baada yakuona watu ninaowajua wakifa kwa ukimwi

Hizo memory zimenifanya kujitenga mbali Sana na ngono mpaka naondoka Bukoba sijacheza mechi yoyote.


Then na malezi maana sisi wengine access za wanawake zilikuwa kubwa sana ila tumesoma shule nzuri zenye maadili ya kiroho then MAZINGIRA tuliokulia hayakuturuhusu kuwaza ngono hata siku moja.
 
Nyege ni kitu kibaya Sana ila pia na kukosa Elimu maana Mimi kwetu Bukoba nilianza kuchukia Ngono baada yakuona watu ninaowajua wakifa kwa ukimwi

Hizo memory zimenifanya kujitenga mbali Sana na ngono mpaka naondoka Bukoba sijacheza mechi yoyote.


Then na malezi maana sisi wengine access za wanawake zilikuwa kubwa sana ila tumesoma shule nzuri zenye maadili ya kiroho then MAZINGIRA tuliokulia hayakuturuhusu kuwaza ngono hata siku moja.
Ngoma noma sana aisee,
kila nikitaka toka chamani na kuunga vikojoleo live, nikikumbuka tu hali ya mjomba wangu alivyolika na kuisha na kupukutika
fasta najichua, kisha nasema Ahsante Mungu
 
Ngoma noma sana aisee,
kila nikitaka toka chamani na kuunga vikojoleo live, nikikumbuka tu hali ya mjomba wangu alivyolika na kuisha na kupukutika
fasta najichua, kisha nasema Ahsante Mungu
😁😁😁 Kama ulisoma Kitabu kinaitwa passed like a shadow Aisee ndo hali halisi nimeona watu wanapukutika Sana

Pale Bukoba miaka ya 2003 kipindi tupo wadogo nilikuwa naona Vijana walivyokuwa wananyoyoka nywele yaani hivi vidonge vimewasaidia Sana wagonjwa wa ukimwi.


So Bora kukaa chamani maana Bora uvunjike dilibolo na sio kumeza vile vidonge ni hatari Sana hasa kwa sisi ambao tupo uchumi wa kati
 
Back
Top Bottom