Nani kakwambia,panya road wanatengenezwa na wazazi?Na wazaz tujitajid kulea vizuri, tusitengeze panya road, maana police wamechoka kuhangaishwa na watoto wachache waliokosa malez
Hutaki kizaliwa watoto kama Hamza see?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia,panya road wanatengenezwa na wazazi?Na wazaz tujitajid kulea vizuri, tusitengeze panya road, maana police wamechoka kuhangaishwa na watoto wachache waliokosa malez
Panya road wanafahamika...ni hao wakikamatwa wazazi wanaoenda wapa mdhamana kesho anarudi mtaani kuja kukutishia..polisi wamefanya kazi nzuri.Hata Kama ndio wamuue? Eti mtu asikamatwe hadi upelelezi ukamilike Polisi Mungu anawaona, shame
Sio kwa polisi wa tz? Polisi wa tz wao ni kusubiri hukumu kwa Mungu tuUnaposema haki haiwezi kupatikana inategemea unamtegemea nani au nini kuipata
Ila tambua haki ya uhai wa mtu kamwe haidhulumiki
Hapana shida ni uelewa kozi yenyewe fupi miezi 6 na ukishakula ajira kupata nafasi Tena yakupiga kozi nitatizoIvi ukienda course ya polisi binadamu wenzako unawaona mbwa?
Akwilina na yeye alikuwa panya road mbwa weweNa wazaz tujitajid kulea vizuri, tusitengeze panya road, maana police wamechoka kuhangaishwa na watoto wachache waliokosa malez
Na hiyo ya Mungu ndio ya hakiSio kwa polisi wa tz? Polisi wa tz wao ni kusubiri hukumu kwa Mungu tu