kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli usemacho mkuu kutokana na uzoefu wako
Lakini inakuwaje mtu kuharibiwa na akapata hisia kabisa za mapenzi ya jinsia moja (namaanisha kumpenda mwanamume/mwanamke mwenzie kama mpenzi)?
Nijuiavyo mimi unapobakwa unapata trauma(jeraha la kihisia) la muda mrefu ambalo si rahisi kusahau. Sasa mkuu inakuwaje hiyo kubakwa au kunajisiwa kumfanye mtu aendelee kupenda hilo tendo kwa muda mrefu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Saww mkuu nakuelewaNi maswala ya psychological hapo kiongozi, jambo usilolijua psychologically litakuwa sawa mpaka pale utapogundua kuwa upo wrong!
Kumbuka wengi wanafanyiwa mambo hayo katika umri mdogo, ataumia atabembelezwa mwisho wa siku anazoea!
So, kwake kwa kuwa anafanyiwa na mtu anayetegemea amuongoze vyema au role model wake linakuwa ni jambo sahihi kwake mpaka atapopata ufunuo.
Ila kwa mtu anayeelewa kama wewe sasa, ukilazimishwa ina maana hutarudia ukilipenda utaendelea! upo?
Mfano mwingine mdogo, wanawake wa Kikurya kabla ya elimu ya usawa na jinsia kuwafikia kwao kupigwa na kujeruhiwa ilikuwa ni sehemu ya upendo toka kwa mume. Wengi wamefunuka sasa, mpige uone!
Where is the age of the girl reported?
And who is a minor in Africa, aren't these girls legally married and penetrated ?
Gone the soonest.. What a waste [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Jr[emoji769]
Wap picha zake zinapatikana?Ndio yule anakata kiuno hatari basi Kama ni yeye mabariha wamempoteza fundi hatari kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1]atapigwa ban weweUzi haujakamilika huu weka picha na iyo video tuonee
So, what is the age of this girl ?????Kenya statutory rape law is violated when an individual has consensual sexual contact with a person under age 18, although marriage is possible under age 18.
And where I am from (Tanzania) nothing less than age 18 is violated of law unless and if she is above 18 she has to be done with secondary education
huyu mtoto mpaka sasa amefanya kila binti mdogo-mdogo akikatiza mbele yangu mapigo ya moyo yanaenda kasi sana.Huyu toto mimi namuweka ndani kabisa
Very sad.Huyu anko afunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi
Ha haNdo kale mmetuambia kule twitani kuwa baba yake amekakula?