Mtoto wa miaka sita ampiga risasi mwalim wake

Mtoto wa miaka sita ampiga risasi mwalim wake

Hypersonic

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
829
Reaction score
1,564
Tukio hili limetokea huko USA ambako mtoto na mwalimu walishindwa kuelewana na ndipo dogo akamshona teacher risasi.

Bwana mdogo ni mwanafunzi wa darasa la kwanza na hali ya teacher ambaye ana umri wa miaka 30 siyo nzuri yuko chini ya uangalizi wa madaktari.

Shule husika imefungwa kwa muda kupisha uchunguzi ili kubaibaini dogo alipenya vipi na bunduki ili hali kuna ukaguzi kwa kutimia metal detector.

Polisi wamegoma kutaja aina ya silaha iliyohusika.
 
Tukio hili limetokea huko USA ambako mtoto na mwalimu walishindwa kuelewana na ndipo dogo akamshona teacher risasi.

Bwana mdogo ni mwanafunzi wa darasa la kwanza na hali ya teacher ambaye ana umri wa miaka 30 siyo nzuri yuko chini ya uangalizi wa madaktari.

Shule husika imefungwa kwa muda kupisha uchunguzi ili kubaibaini dogo alipenya vipi na bunduki ili hali kuna ukaguzi kwa kutimia metal detector.

Polisi wamegoma kutaja aina ya silaha iliyohusika.




Na sasa wanalazimisha tucopy sheria zao ili na sisi huku tupigwe risasi na wanetu
Ati wanaziita haki za binadamu


Mimi nasema samaki mkunje angali mbichi
Na mwana umleavyo ndivyo akuavyo

MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

MiMITHALI 3:13
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
 
Mtoto wa miaka 6 anajua kulenga shabaha!! Katumia bunduki kubwa na si bastola!! Kampata mwalimu wake sawa sawa na kumpatia majeraha yanayotishia uhai wake!! Si ajabu mwisho wa siku wakaona mtoto hana hatia kwa kuwa ni mdogo sana ila ameonesha KIPAJI chake cha udunguaji!!! Watamwandaa kuwa askari!!
 
Wao ndio wamekuletea hiyo dini, wala huijui vuzuri kama wao.
Unajishebedua tu.
Na sasa wanalazimisha tucopy sheria zao ili na sisi huku tupigwe risasi na wanetu
Ati wanaziita haki za binadamu


Mimi nasema samaki mkunje angali mbichi
Na mwana umleavyo ndivyo akuavyo

MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

MiMITHALI 3:13
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
 
Haya mambo ya kuruhusu umiliki wa silaha za moto kama izo,,yataendelea kuwacost sana
 
Back
Top Bottom