Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Huyu TISS huyu🤣🤣🤣Ni kawaida sana View attachment 2473696
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu TISS huyu🤣🤣🤣Ni kawaida sana View attachment 2473696
Ila wasukuma bwana! Mnachekeshaga...maelezo kidogo pls ya hii pichaNi kawaida sana View attachment 2473696
Huku hatupost picha mkuu wala hatuna shida nazo saana, huku tunachora picha kwa hoja kama hadithi za vitabu A. Msiba almaarufu Willy Gamba.Ni kawaida sana View attachment 2473696
Nimeangalia pia hiyo picha nikajiliza maswali mengi ila nikagundua JF ina-undergo evolution na soon itakua Facebook na Sio GT forum! Mark my wordsHuku hatupost picha mkuu wala hatuna shida nazo saana, huku tunachora picha kwa hoja kama hadithi za vitabu A. Msiba almaarufu Willy Gamba.
Watoto wamekuwa wengi sana humu na si haba huoni tHD zenye mashiko kama ilivyokuwa miaka ya nyuma. Sasa hivi utakuta habari za kupiga punyeto, kula tunda kwa masihara, demu wangu simuelewi nkNimeangalia pia hiyo picha nikajiliza maswali mengi ila nikagundua JF ina-undergo evolution na soon itakua Facebook na Sio GT forum! Mark my words
Kuna nn bro😂Ni kawaida sana View attachment 2473696
Hakuna relevance na humani rights!Na sasa wanalazimisha tucopy sheria zao ili na sisi huku tupigwe risasi na wanetu
Ati wanaziita haki za binadamu
Mimi nasema samaki mkunje angali mbichi
Na mwana umleavyo ndivyo akuavyo
MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.
MiMITHALI 3:13
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.