Amkia kwenda kwa daktari
Pia....
Msimlaze flat kuanzia kifua
Anajaa makohozi labda au lingine..
Mnamlaza kwa baridi?
Tatizo likiendelea kutoa makohozi kiurahisi kwa mtoto sio kumpa dawa bali atumie inhaler kama ya a kimavu au kina makohozi.. Dawa akiwa na infection.. (uliza daktari hili)
Pole, tupe mrejesho