Mtoto wa miezi 7 kamili ameharisha mara 13, dawa akipewa anaicheua

Hao madoctor hawana akili,mtoto kwa stage aliofikia hastahili tena kupewa dawa za kunywa hapo ni drip na sindano tu ndio salama yake,kingine usilale na mtoto nyumbani hama hiyo zahanati nenda kituo cha afya kikubwa ukalalie huko...
 
Pamoja na kushauriwa dawa nzuri sana
Mpeleke huyo mtoto hospitali haraka sana, anaweza kuishiwa maji kwani sijui kama anapata maji ya kutosha labda kama mama yake anamaziwa mengi sana; nikimaanisha Oral hawezi kunjwa nyingi...
Hiyo kucheua ni kwa sababu tumboni kuna joto (bado ana homa)
Homa inatatiza uyeyushaji wa chakula, na ndio sababu mtu akiwa na homa na hamu ya kula huisha.
Hata hivyo inaweza kuwa ni meno tu yanatoka.... ILA usilale naye nyumbani, mpeleke Hospitali
 
Chuma hicho
 

Attachments

  • IMG-20241008-WA0011.jpg
    78.9 KB · Views: 1
  • IMG-20241008-WA0012.jpg
    44.5 KB · Views: 1
  • IMG-20241008-WA0011.jpg
    78.9 KB · Views: 1
Daah pole sana mkuu..
Kuna mkuu hapo juu amekupa dawa nzuri sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…