Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Upo na mama yake mwaka wa 2 sasa maana ulimchukua akiwa na mwaka 1, tazoeaje mfano
Mtoto ambae umemchukua akiwa mdogo hivyo hawezi kuleta shida. Kwasababu katika umri huo hawezi jua tofauti ya baba mzazi au mlezi.
 
We mzalishe huyo singo maza,huyo mtoto baada ya kuona una mapenzi na mwanao wa kumzaa ataanza kukuelewa
Na Mtoto akianza kumuelewa amkumbushe yote Yale,ya kua wwe siyo baba yake! Wwe Mtoto wako ni huyo mdogo wake tu!! Na wwe unamlipizia!! Utaona atakavyokua na adabu!!
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui

Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.

Tunafanyaje kwa mfano huu.
Me nilikuwanae wa ivyo, siku moja narudi nasikia ye na mama yake wananizungumzia vibaya ndani, aisee niliwatimua kwangu yeye na mama yake hadi leo
 
Usilazimishe
Asikuite Baba akuite Uncle
Mpotezee endelea na ratiba zingine
Jishughulishe penye uhitaji tu mfano analia anaomba msaaada


Zaeni mwingine

akikua ataelewa
 
Unasubiri nini kumfungia nje? Mwambie asikuletee kiburi sababu utamnyoa kwa kigae tena umwambie mbele ya mama yake usiku huku ukimvuta nje wakati mvua inanyesha. Uone kama hasemi nisamehe baba. Kisha mwambie futa machozi haraka sana na nisikie kelele.

Then akinyamaza unampa adhabu ya kuamka mapema apanguse viatu vyako kabla ya shule.

Uone kama atajaribu kuuliza tena huyu ni nani. Avae kanga ya mama yako ndo baba yako mwambie.
Ha ha ha fala ww
 
Mama kumuelekeza mtoto akuamkie sio kosa na sio ku force, mama kumwambia mtoto huyo ndio baba yako ili akitaka kufanya kitu ajue huyo ndiye baba sio kosa, mwanaume hata muda wa kutaka kuongea na mtoto ila kama mtoto wake akitoka kazini au sehem anakuja na zawadi bado mtoto hataki hizo zawadi. Nia mbaya kwa huyo mtoto ni kama ipi mfano maana hakuna mpango wa kumuumiza au kumfanyia mtoto kitu kibaya.
kama mtoto anaonana na baba yake halali, its possible amepandikizwa chuki just dont give up hali itakaa sawa akijitambua
 
Back
Top Bottom