Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Mtoto wa mkeo asipokupenda unafanyaje?

Utaoaje single mother bro!
Wewe hata umfanyie nin huyo mtoto kwakuwa tayari anamjua baba yake ni nani itakuwa ngumu/itachukua muda kukupenda/kukuzoea. Na hiyo ndio sababu itakayomfanya mama mtu kuona umuhimu/kumfikiria zaidi mzazi mwenzie.
Halafu kitu usichokijua wazazi huwa hawaachani kwahiyo anayokufanyia huyo mtoto ni cha mtoto, mzazi na mzazi mwenzie hawaachani bro! ngoja moto upambe vizuri utaiona ngondo.
Utakuja kukumbuka maneno yangu.
 
NI UTOTO UNAMSUMBUA ataacha akikua.........endelea kum care. ...ingawa anaonekana ana kiburi cha kichaw......

Anyway

MWANAMKE WA KUOLEWA AWE.....BIKRA TU ...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] nilitegemea kukutana na komenti kama hii[emoji115]
 
Ila dah kila mtu na moyo wake kuoa single maza kwangu hapana na mzee wangu alishanikanya
 
Nilijaribu kumuuliza mwanamke kuhusu malezi ya baba yake akasema ya kawaida sana, jamaa aje amchukue si ndio maana yake akae naye tu maana ndiye anaye mtambua na mama yake hataki mtoto wake aende kwa yule baba.
Mwanamke hawezi kukwambia ukweli kuwa baba yake alikuwa anamjali na kumlea vizuri kamwe! Nia yake ni kumkomoa huyo mzazi mwenzie, na anakwambia hivyo ili akupe wewe imani tu, lakini duniani hakuna baba wawili ipo siku watapatana na kuelewana na atamsifia kwa mdomo wake, jipe muda tu.
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui

Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.

Tunafanyaje kwa mfano huu.
Upendwe na mtoto wa mkeo ili iweje? Endelea na mambo yako na mamake. Achana nae.
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui
Mwanadamu haridhiki! Diamond kamkana Mzee Abdul ukubwani; "oh, anamkana kwa sababu wanamuona maskini"! Dogo kaanza kukana mapemaaa kabla hajajua umaskini na utajiri" napo inageuka nongwa!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] nilitegemea kukutana na komenti kama hii[emoji115]
😂😂😂😂 kila siku watu wanaongelea hili
 
Kuwa single mother sio sababu hapo ndio maana ulimpenda ukaanza nae maisha. Ishu ya msingi ni kutafuta technique za kumbadilisha huyo mtoto afahamu kuwa wewe ni baba yake
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui

Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.

Tunafanyaje kwa mfano huu.
Uoa ambaye hana mtoto
 
hahahah jf hatari sana .. unajua watu kila leo wanashauriwa kuhusu hili jambo la viwanja vyenye mgogoro lakini ndi kwanza wana nunua...

halafu nkulazimisha mtoto ampende kwa kumnunulia vizawadi mimi bnakataa huyu mtoto si wa kubembeleza ni kuachana nae tuu asimbembeleze kama kumpenda achague yeye na asimlazimishe amuite baba..... shida ya ndugu yetu ana lazimisha mtoto asiye wake ampende
Uko sahihi
 
Kusema ukweli kuoa ma single mother kuna changamoto yeye anataka umpende mwanaye mwanaye hakupendi mama anajaribu kulazimisha ili asimtie aibu maana alimtetea kuja kukaa na ww lakini mtoto hana mood kabisa. ngumu sana
We mzalishe huyo singo maza,huyo mtoto baada ya kuona una mapenzi na mwanao wa kumzaa ataanza kukuelewa
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui

Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.

Tunafanyaje kwa mfano huu.cha
 
Huyo mtoto ni wakumnyuka viboko tu... Maana hapo ni kiburi ndo kinachomsumbua hata angekuwa baba yake mzazi bado angemletea kiburi

Mwambie mama yake amnyukee viboko
 
Hivi unaendaje kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari?

Aisee yaani I cant register that nonsense in my head!
Hakuna shida kuoa mwanamke mwenye mtoto shida kuishi naye kwenu. A woman with one kid is far better than a woman with no single kid but had aborted 70 pregnancies of 50 different men. Akaishi kwa babu na bibi yake mzaa mama au kwa babake mzazi. Thats our culture n customs
 
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui

Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.

Tunafanyaje kwa mfano huu.
Chapa bakora kama alivyofanya naibu waziri
 
Sasa Kama umeweza kumsaundisha mama mtoto unashindwaje?...
 
Kwanza mwanamke ambaye ambaye amepata mtoto na mtu mwingine hana nafasi wala sababu ya kumwambia mwanaume kuwa anatalazimika kumpenda mtoto kwanza ndipo na yeye (huyo mwanamke) akubali kuwa na huyu mwanaume. Huko tunaita ni kukosa akili.

Si jukumu la mwanaume kulea mtoto wa kufikia kama amri au sharti kuu la kukubaliwa na mwanamke bali ni hisani au kujitolea.

Katika situation kama hiyo me nitakuwa busy na mambo mengine. Mtoto si wangu so siwezi mlazimisha aniite baba na hataki kwa kujua ukweli kuwa kuwa mimi si baba yake.
 
Back
Top Bottom