Mtoto ambae umemchukua akiwa mdogo hivyo hawezi kuleta shida. Kwasababu katika umri huo hawezi jua tofauti ya baba mzazi au mlezi.Upo na mama yake mwaka wa 2 sasa maana ulimchukua akiwa na mwaka 1, tazoeaje mfano
Na Mtoto akianza kumuelewa amkumbushe yote Yale,ya kua wwe siyo baba yake! Wwe Mtoto wako ni huyo mdogo wake tu!! Na wwe unamlipizia!! Utaona atakavyokua na adabu!!We mzalishe huyo singo maza,huyo mtoto baada ya kuona una mapenzi na mwanao wa kumzaa ataanza kukuelewa
Me nilikuwanae wa ivyo, siku moja narudi nasikia ye na mama yake wananizungumzia vibaya ndani, aisee niliwatimua kwangu yeye na mama yake hadi leoImetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui
Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.
Tunafanyaje kwa mfano huu.
Ha ha ha fala wwUnasubiri nini kumfungia nje? Mwambie asikuletee kiburi sababu utamnyoa kwa kigae tena umwambie mbele ya mama yake usiku huku ukimvuta nje wakati mvua inanyesha. Uone kama hasemi nisamehe baba. Kisha mwambie futa machozi haraka sana na nisikie kelele.
Then akinyamaza unampa adhabu ya kuamka mapema apanguse viatu vyako kabla ya shule.
Uone kama atajaribu kuuliza tena huyu ni nani. Avae kanga ya mama yako ndo baba yako mwambie.
acha ubaguzi khaMkuu pambana na Hali yako we si ndo umeoa single maza unakubali vp inaanza mechi na moja bila
kama mtoto anaonana na baba yake halali, its possible amepandikizwa chuki just dont give up hali itakaa sawa akijitambuaMama kumuelekeza mtoto akuamkie sio kosa na sio ku force, mama kumwambia mtoto huyo ndio baba yako ili akitaka kufanya kitu ajue huyo ndiye baba sio kosa, mwanaume hata muda wa kutaka kuongea na mtoto ila kama mtoto wake akitoka kazini au sehem anakuja na zawadi bado mtoto hataki hizo zawadi. Nia mbaya kwa huyo mtoto ni kama ipi mfano maana hakuna mpango wa kumuumiza au kumfanyia mtoto kitu kibaya.
Hamna bhana sio ubaguziacha ubaguzi kha
Bali nini ndugu yang? single moms sio watu?Hamna bhana sio ubaguzi