Jibu umejipa mwenyewe mstari wa mwisho.Hapa ndipo naipenda jf tutakujua tu
Kwenye uuzaji wa ngada hapo tunashukur kumjua vizur tuwape hongera waanzilishi wa huu mtandao nashangaa serikali inataka kuufunga wakat ni chanzo kizur cha habar.
[emoji23][emoji23]Game changer, Talented Feller, nakuelewa sana mkuu, na Naomba niseme machache.
"Money & Fame"
Hivi vitu huwa haviji kwa gharama nafuu, ni lazima vigharamikiwe na gharama zake ndiyo kama hizi tunazoambiwa leo hii tuchangie.
Huyo dada inasemekana ni mtu wa kupenda sana shiriki, mambo ya ndumba na pia inasemekana yalikuwa yanamsaidia kupitisha mizigo kwenye scanner bila kunyakwa na wahuska. (-)
Mara ameokaka, mara kawa vile. Anajua alichofanya na makubaliano aliyosaini huko kwa kina [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG].
Apambane na hali yake tu..!
umetoa pole mkuuWatachangiana wao kwa wao
hakika mkuuNa ndivyo nilivyo na nitakavyokuwa daima Mkuu. Mijitu inatutambia kila Kukicha Mitandaoni ikijifanya ina maisha mazuri na inajiweza halafu leo tunaletewa ' Upuuzi ' wa Kuwachangia. Sijafurahishwa kwa Kifo cha Mtoto Patrick na naungana na wengine wote katika Kumuomboleza ila ujumbe wangu ni mdogo sana kwamba tuacheni kuishi maisha ya Kaole / Maigizo na tujifunze kuwa ' Simple ' tu maishani ila hata kama ikitokea siku una shida au tatizo Watu wanakuwa wepesi kama siyo kuguswa Kukusaidia.
Yule dogo lazima wamempiga chuma cze amemuuzisha sana sura kwenye social media.tujifunzeEvil eye is real, huwa tunakumbushwa tuwe makini na kile tunachoshare kenye social media, lakini si kila mja ni msikivu, We mwanao unamvisha vitu vya thamani kisha wamweka kwa mtandao, anaemtazama upande wa pili si mtoto wake tu bali yeye mwenywe hana hivyo anavyovyiona, people become jelous
Duu!Yule dogo lazima wamempiga chuma cze amemuuzisha sana sura kwenye social media.tujifunze
Sure tetesi zinasema dada kamtoa mtoto kafara, ili apige pesa hizo story wenzake wakaribu wanazo.Game changer, Talented Feller, nakuelewa sana mkuu, na Naomba niseme machache.
"Money & Fame"
Hivi vitu huwa haviji kwa gharama nafuu, ni lazima vigharamikiwe na gharama zake ndiyo kama hizi tunazoambiwa leo hii tuchangie.
Huyo dada inasemekana ni mtu wa kupenda sana shiriki, mambo ya ndumba na pia inasemekana yalikuwa yanamsaidia kupitisha mizigo kwenye scanner bila kunyakwa na wahuska. (-)
Mara ameokaka, mara kawa vile. Anajua alichofanya na makubaliano aliyosaini huko kwa kina [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG].
Apambane na hali yake tu..!
Mmmmh!!!Sure tetesi zinasema dada kamtoa mtoto kafara, ili apige pesa hizo story wenzake wakaribu wanazo.
Sure tetesi zinasema dada kamtoa mtoto kafara, ili apige pesa hizo story wenzake wakaribu wanazo.
Kuna wachungaji wakiomba dunia inatetemeka kumbe wanatumia nguvu za kuzimu,,,kwenye wokovu watu wamefanya chaka la uovu,,,ingawa sidhani km muna alikua ivoMkuu yule dada si ameokoka lakini.??
The jealous, the envy..,....Na ndivyo nilivyo na nitakavyokuwa daima Mkuu. Mijitu inatutambia kila Kukicha Mitandaoni ikijifanya ina maisha mazuri na inajiweza halafu leo tunaletewa ' Upuuzi ' wa Kuwachangia. Sijafurahishwa kwa Kifo cha Mtoto Patrick na naungana na wengine wote katika Kumuomboleza ila ujumbe wangu ni mdogo sana kwamba tuacheni kuishi maisha ya Kaole / Maigizo na tujifunze kuwa ' Simple ' tu maishani ila hata kama ikitokea siku una shida au tatizo Watu wanakuwa wepesi kama siyo kuguswa Kukusaidia.
Hiyo ngada anauzia wapi mbona mi simjui labda kama alikuwa anauzia chato hukoAlikua muigizaji.. Mtu wa kuandaa matamasha..Dada wa hiyari wa Elizabeth Michael.. Rafiki wa wema n muuza ngada mzuri tu kabla hajaokoka
Serikali ya awamu hii ni ya ............Hapa ndipo naipenda jf tutakujua tu
Kwenye uuzaji wa ngada hapo tunashukur kumjua vizur tuwape hongera waanzilishi wa huu mtandao nashangaa serikali inataka kuufunga wakat ni chanzo kizur cha habar.
hata wabunge hawana bima...unacheza na bima wewe?Nashindwa kuchangia nabaki kusoma tu,maana Casto namjua vizuri mno yaani mno,ni mshikaji Wangu sana bila acha nibaki msomaji Asee ,nadhani wa bongo wengi BIMA ni tatizo
Naomba uquote aya inayosema mtume Paulo alikufa kwa kukatwa kichwa.Kama alikuwa muuz Ngada ana akaharibu watoto wa watu wengi na vilio vya wazazi vikafika kwa THE MOST HIGH then lazima laana ya ule unga mweupe urudi nyumbani.....Utaokoa yes...But you will have to pay dearly kwa yote hayo....Sababu sidhani kama aliwaomba msamaha hao wazazi....
Paul alikuwa mkatili akiua wakristo kila kona Yesu akamuokoa akahubiri injili
But nae mwisho akakatwa kichwa......
Kuna wachungaji wakiomba dunia inatetemeka kumbe wanatumia nguvu za kuzimu,,,kwenye wokovu watu wamefanya chaka la uovu,,,ingawa sidhani km muna alikua ivo
Hahahahaaaaaa daaahAlikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Mfungaji bora katika kombe la dunia RashiaMuna ni nani?