Mtoto wa Muna Love anasumbuliwa na nini?

Mtoto wa Muna Love anasumbuliwa na nini?

Hapa ndipo naipenda jf tutakujua tu

Kwenye uuzaji wa ngada hapo tunashukur kumjua vizur tuwape hongera waanzilishi wa huu mtandao nashangaa serikali inataka kuufunga wakat ni chanzo kizur cha habar.
Jibu umejipa mwenyewe mstari wa mwisho.
HABARI NYINGINE HAWAZIPENDI,LABDA ZA KUWASIFIA😀
 
Game changer, Talented Feller, nakuelewa sana mkuu, na Naomba niseme machache.

"Money & Fame"
Hivi vitu huwa haviji kwa gharama nafuu, ni lazima vigharamikiwe na gharama zake ndiyo kama hizi tunazoambiwa leo hii tuchangie.

Huyo dada inasemekana ni mtu wa kupenda sana shiriki, mambo ya ndumba na pia inasemekana yalikuwa yanamsaidia kupitisha mizigo kwenye scanner bila kunyakwa na wahuska. (-)

Mara ameokaka, mara kawa vile. Anajua alichofanya na makubaliano aliyosaini huko kwa kina [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG].

Apambane na hali yake tu..!
[emoji23][emoji23]
 
Na ndivyo nilivyo na nitakavyokuwa daima Mkuu. Mijitu inatutambia kila Kukicha Mitandaoni ikijifanya ina maisha mazuri na inajiweza halafu leo tunaletewa ' Upuuzi ' wa Kuwachangia. Sijafurahishwa kwa Kifo cha Mtoto Patrick na naungana na wengine wote katika Kumuomboleza ila ujumbe wangu ni mdogo sana kwamba tuacheni kuishi maisha ya Kaole / Maigizo na tujifunze kuwa ' Simple ' tu maishani ila hata kama ikitokea siku una shida au tatizo Watu wanakuwa wepesi kama siyo kuguswa Kukusaidia.
hakika mkuu
 
Evil eye is real, huwa tunakumbushwa tuwe makini na kile tunachoshare kenye social media, lakini si kila mja ni msikivu, We mwanao unamvisha vitu vya thamani kisha wamweka kwa mtandao, anaemtazama upande wa pili si mtoto wake tu bali yeye mwenywe hana hivyo anavyovyiona, people become jelous
Yule dogo lazima wamempiga chuma cze amemuuzisha sana sura kwenye social media.tujifunze
 
Game changer, Talented Feller, nakuelewa sana mkuu, na Naomba niseme machache.

"Money & Fame"
Hivi vitu huwa haviji kwa gharama nafuu, ni lazima vigharamikiwe na gharama zake ndiyo kama hizi tunazoambiwa leo hii tuchangie.

Huyo dada inasemekana ni mtu wa kupenda sana shiriki, mambo ya ndumba na pia inasemekana yalikuwa yanamsaidia kupitisha mizigo kwenye scanner bila kunyakwa na wahuska. (-)

Mara ameokaka, mara kawa vile. Anajua alichofanya na makubaliano aliyosaini huko kwa kina [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG].

Apambane na hali yake tu..!
Sure tetesi zinasema dada kamtoa mtoto kafara, ili apige pesa hizo story wenzake wakaribu wanazo.
 
Na ndivyo nilivyo na nitakavyokuwa daima Mkuu. Mijitu inatutambia kila Kukicha Mitandaoni ikijifanya ina maisha mazuri na inajiweza halafu leo tunaletewa ' Upuuzi ' wa Kuwachangia. Sijafurahishwa kwa Kifo cha Mtoto Patrick na naungana na wengine wote katika Kumuomboleza ila ujumbe wangu ni mdogo sana kwamba tuacheni kuishi maisha ya Kaole / Maigizo na tujifunze kuwa ' Simple ' tu maishani ila hata kama ikitokea siku una shida au tatizo Watu wanakuwa wepesi kama siyo kuguswa Kukusaidia.
The jealous, the envy..,....
 
Alikua muigizaji.. Mtu wa kuandaa matamasha..Dada wa hiyari wa Elizabeth Michael.. Rafiki wa wema n muuza ngada mzuri tu kabla hajaokoka
Hiyo ngada anauzia wapi mbona mi simjui labda kama alikuwa anauzia chato huko
 
Hapa ndipo naipenda jf tutakujua tu

Kwenye uuzaji wa ngada hapo tunashukur kumjua vizur tuwape hongera waanzilishi wa huu mtandao nashangaa serikali inataka kuufunga wakat ni chanzo kizur cha habar.
Serikali ya awamu hii ni ya ............
 
Nashindwa kuchangia nabaki kusoma tu,maana Casto namjua vizuri mno yaani mno,ni mshikaji Wangu sana bila acha nibaki msomaji Asee ,nadhani wa bongo wengi BIMA ni tatizo
hata wabunge hawana bima...unacheza na bima wewe?
 
Kama alikuwa muuz Ngada ana akaharibu watoto wa watu wengi na vilio vya wazazi vikafika kwa THE MOST HIGH then lazima laana ya ule unga mweupe urudi nyumbani.....Utaokoa yes...But you will have to pay dearly kwa yote hayo....Sababu sidhani kama aliwaomba msamaha hao wazazi....
Paul alikuwa mkatili akiua wakristo kila kona Yesu akamuokoa akahubiri injili
But nae mwisho akakatwa kichwa......
Naomba uquote aya inayosema mtume Paulo alikufa kwa kukatwa kichwa.

Heri kukaa kimya kuliko kuandika mambo usiyoyafahamu ndugu, unadhihirisha upumbavu wako.
 
Kuna wachungaji wakiomba dunia inatetemeka kumbe wanatumia nguvu za kuzimu,,,kwenye wokovu watu wamefanya chaka la uovu,,,ingawa sidhani km muna alikua ivo

Duh! sawa nimekuelewa aiseee
 
Back
Top Bottom