Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Umeangalia video?Mtoto hana jina na baba nae hana jina.
All the best
Nimeangalia mahojiano ya huyu jamaa sijaelewa kabisa.
View attachment 3129017
Anasema bila ya kuuawa Kwa Ayatollah vita hapo Mashariki ya Kati haitaisha.
Baba yake huyu jamaa alikuwa ni mmojawapo wa wanzilishi wa kundi la Hezbollah.
Unamjua vizuri hiyo😂😂Nimeangalia mahojiano ya huyu jamaa Mossab Hassan Yousef sijaelewa kabisa.
View attachment 3129017
Anasema bila ya kuuawa Kwa Ayatollah vita hapo Mashariki ya Kati haitaisha.
Baba yake huyu jamaa alikuwa ni mmojawapo wa wanzilishi wa kundi la Hamas.
Wewe pumguani kweli kila habari unamezeshwa tu bila kutumia akili yako unajuq historia yake? Unajua kama ni msaliti na unajua kama anaishi Israel?😂Ritz Adiosamigo @feizafoxy@malaria 2 Jagina sijui vagina njooni hapa tumtetee Khayatollah...jamaa wamemchoka
Waajemi na Wayahudi wanachukiana kwa niobgo mingi sana hata kabla Yesu kuzaliwa.Sahihi kabisa yule jamaa ndio tatizo na waarabu wameshajua ndio maana wanawaacha wapambane peke yake ,hawa waajemi wanaroho mbaya sana
USSR
sasa akifa ayatollah si ataibuka ayatollah mwingine?Sio wote wanapenda vita na Mayahudi, wanaujua moto wao vizuri.
Lakini pia wanajua anayechochea moto ni Ayatollah hivyo wanatamani afe ili mashariki ya kati itulie
Dunia ina vituko mwamba yupo Ngudu lakini anataka kuwapangia Hamas na Hezbollah cha kufanya watumie fikra zake😂Hivi hawa top leaders wa kiislam kwanini wanapoteza muda kuhangaika na missiles artillery inayowafanya waendelee kuangamia zaidi.
Wakati kuna option nyingine ambayo ni safe ya wao kumuadabisha huyo mzayuni pasipo ku risk uhai wao?
Au ndio tuamini rasmi kuwa zile stori kuhusu alibadili ni spiritual politics??
Sio kuwapangiaDunia ina vituko mwamba yupo Ngudu lakini anataka kuwapangia Hamas na Hezbollah cha kufanya watumie fikra zake😂