Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Anaelewa hata lugha inayotumika hapo huyo kobaz wa bom bom kijiwe samli?!Umeangalia video?
Akili yake imeishia kwa kina mazinge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaelewa hata lugha inayotumika hapo huyo kobaz wa bom bom kijiwe samli?!Umeangalia video?
Benjamin Netanyahu one of the most intelligent persons in the recent history.nyahu atamshugulikia tu hivi karibuni,msiwe na shaka mambo yake yako jikoni yanaandaliwa
Hebu nisaidie kidogo kaka; Israel ni wapi na Gaza iko wapi? I'm confusedWewe pumguani kweli kila habari unamezeshwa tu bila kutumia akili yako unajuq historia yake? Unajua kama ni msaliti na unajua kama anaishi Israel?😂
Kuswali swala tano kumemshindaFaizaFoxy Huyu kapatwa na nini mpaka anaacha ustaarabu wa mudi na kujiunga na makafiri.
Hii inadhihirisha Hezbollah na Hamas wana traitors ndani kabisa ya mifumo yao na uongozi.Nimeangalia mahojiano ya huyu jamaa Mossab Hassan Yousef sijaelewa kabisa.
View attachment 3129017
Anasema bila ya kuuawa Kwa Ayatollah vita hapo Mashariki ya Kati haitaisha.
Baba yake huyu jamaa alikuwa ni mmojawapo wa wanzilishi wa kundi la Hamas.
Hawa uliowataja ni kina nani? Na wanatokea nchi gn hapo middle East? Msaada kwenye tuta plz. Hivi kwa nn china hakuna ugaidi wenye mlengo wa kidini?Ritz Adiosamigo @feizafoxy@malaria 2 Jagina sijui vagina njooni hapa tumtetee Khayatollah...jamaa wamemchoka
Kikundi kinajiita Islamic jihad kina bunduki kabsa na wapiganaji wanavaa bullet proof. Ila huyu Allah huyu...nna maswali mengi sana ya kumuuliza nikikutana naeSio kuwapangia
Ni shauku tu ya kutaka kuona nao waki practice yale ambayo wanatuhubiria.
Otherwise vitabu vyao kuhusu hizo stori viwe vimeandika kiutani tu
Na ndio maana inapotokea serious problem wanapuuza dua wanachukua bunduki.
China hawacheck na KimaHawa uliowataja ni kina nani? Na wanatokea nchi gn hapo middle East? Msaada kwenye tuta plz. Hivi kwa nn china hakuna ugaidi wenye mlengo wa kidini?
Aya tola yule anamajini mia3 kuendeleaNimeangalia mahojiano ya huyu jamaa Mossab Hassan Yousef sijaelewa kabisa.
View attachment 3129017
Anasema bila ya kuuawa Kwa Ayatollah vita hapo Mashariki ya Kati haitaisha.
Baba yake huyu jamaa alikuwa ni mmojawapo wa wanzilishi wa kundi la Hamas.
Putin aliwanyonga magaidi wa kiislamu pale Chechniya leo wanaomuona ndiye rafiki yao kipenzi.. hawajui Deep State ya Russia ipo chini ya wayahudi na mtu aliyefanikisha Putrn kuwa Rais wa Russia ni Roman Abromovic ambaye ana asili ya kiyahudi.China hawacheck na Kima
Nyau anawafungua mmoja baada ya mwingine..nyahu atamshugulikia tu hivi karibuni,msiwe na shaka mambo yake yako jikoni yanaandaliwa
View attachment 3129143