Mtoto wa mwanachama muanzilishi wa Hezbollah ataka Ayatollah Auawe!!

Mtoto wa mwanachama muanzilishi wa Hezbollah ataka Ayatollah Auawe!!

Wewe pumguani kweli kila habari unamezeshwa tu bila kutumia akili yako unajuq historia yake? Unajua kama ni msaliti na unajua kama anaishi Israel?😂
Hebu nisaidie kidogo kaka; Israel ni wapi na Gaza iko wapi? I'm confused
 
Nikusahihishe kidogo hapo kwenye Heading huyo ni mtoto wa mwanzilishi wa kundi la Magaidi ya Hamas.
Ameachana na Ugaidi siku nyingi sana amebadili na Dini sasa ni Mkristo.
Adiosamigo
 
Nimeangalia mahojiano ya huyu jamaa Mossab Hassan Yousef sijaelewa kabisa.

View attachment 3129017

Anasema bila ya kuuawa Kwa Ayatollah vita hapo Mashariki ya Kati haitaisha.

Baba yake huyu jamaa alikuwa ni mmojawapo wa wanzilishi wa kundi la Hamas.
Hii inadhihirisha Hezbollah na Hamas wana traitors ndani kabisa ya mifumo yao na uongozi.
 
Sio kuwapangia

Ni shauku tu ya kutaka kuona nao waki practice yale ambayo wanatuhubiria.

Otherwise vitabu vyao kuhusu hizo stori viwe vimeandika kiutani tu

Na ndio maana inapotokea serious problem wanapuuza dua wanachukua bunduki.
Kikundi kinajiita Islamic jihad kina bunduki kabsa na wapiganaji wanavaa bullet proof. Ila huyu Allah huyu...nna maswali mengi sana ya kumuuliza nikikutana nae
 
China hawacheck na Kima
Putin aliwanyonga magaidi wa kiislamu pale Chechniya leo wanaomuona ndiye rafiki yao kipenzi.. hawajui Deep State ya Russia ipo chini ya wayahudi na mtu aliyefanikisha Putrn kuwa Rais wa Russia ni Roman Abromovic ambaye ana asili ya kiyahudi.
 
Lakini kwa ufahamu wangu Ayattollah ni cheo.. Na sio jina.. Ayattollah ni kiongozi mkuu wa nchi na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi.. ( Supreme Leader) Huyu ana mamlaka kuliko hata Rais wa Iran.. Alikuwepo Ayattollah Khomeini.. Na sasa yupo Ayattollah Ali Khamenei.. Ukimuua Ayattollah wa sasa atachaguliwa Ayattollah mwingine..
 
Sasa hivi Ayatollah anaishi Kama digidigi, halali kwenye nyumba moja Mara mbili, hagusi simu ya mkononi hata umpe iPhone ya bure haitaki.
 
Dictator Ayatollah is living on a borrowed time and it's time which perfects everything.
 
Back
Top Bottom