Mtoto wa mwanachama muanzilishi wa Hezbollah ataka Ayatollah Auawe!!

Mtoto wa mwanachama muanzilishi wa Hezbollah ataka Ayatollah Auawe!!

Ndio maana hata alivyouliwa yule kiongozi wa Hezbollah kule Iran walipanic sana...
 
S
Mtoto hana jina na baba nae hana jina.
All the best
Sikiliza ujumbe wake; kwa sura we may congrude that he is an Arab and hence we may congrude more, that not all Arabs likes what Hamas, Hezbollah, Houth and Iran are doing
 
Watanzania sijui huwa ni wajinga au ni wapumbavu...Ayatollah sio mtu ni cheo
alikuwepo khomein sasa ni ali khamenei..
Muwe mnasoma na kujua mambo ndo mnapost
 
Wewe pumguani kweli kila habari unamezeshwa tu bila kutumia akili yako unajuq historia yake? Unajua kama ni msaliti na unajua kama anaishi Israel?😂
Huyo jama huwa ni shida humu
 
Wewe pumguani kweli kila habari unamezeshwa tu bila kutumia akili yako unajuq historia yake? Unajua kama ni msaliti na unajua kama anaishi Israel?😂
Awe vyovyote, ila issue ni kwamba kasema Ayatullah akifa middle east itatulia.Nothing less nothing more!
 
Sasa hivi Ayatollah anaishi Kama digidigi, halali kwenye nyumba moja Mara mbili, hagusi simu ya mkononi hata umpe iPhone ya bure haitaki.
Netanyahu amejenga nyumba ya kifahari mno lakini halali humo hata siku moja.

Msemaji wake na msemaji wa IDF wamethibitisha hilo baada ya makazi yake kushambuliwa na wanaume Hezbollah kwa drone isiyoonekana kwa Iron dome na THAAD.😂

Hadi hapo nani amethibitika kuwa anaishi kama digidigi?😂😂
 
Awe vyovyote, ila issue ni kwamba kasema Ayatullah akifa middle east itatulia.Nothing less nothing more!
Ayatollah ni cheo wewe kondoo sio mtu. Kwamba cheo cha Ayatollah kikifa ndiyo Mazayuni yataendelea kuwanyanyasa wenzao wa middle east?

Ayatollah is there to stay hadi Mazayuni yasalimu amri. Ameyatwanga Mazayuni mara mbili mfululizo ndani ya miezi sita pekee yameufyata.
 
Huyu si ndiye alibadili na dini kawa mkristo au sio huyu.
Shida siyo kubadili dini, inahitaji akili kubwa kujiondoa kwenye "akili za kupandikizwa" na kuamua kutumika akili zako.
Mimi na wewe ni wahanga wa ujinga tulioambiwa na wazazi, walimu, kiongozi wa dini, nk nimesoma vitabu vya huyu jamaa kwakweli ana akili Sana,

From Hamas to America is a gripping memoir that follows the son of Hamas founder, Mosab Hassan, as he breaks away from his culture’s practice of terrorism to becoming a double-agent for Israel to finally fleeing to America and becoming a US citizen, and ultimately finding peace.

“This is my opportunity to share my journey with others, to let go of both the traumas and the triumphs, to find freedom, to proclaim my truth.”

Mosab Hassan Yousef has worn many labels: Hamas terrorist, Green Prince, spy, traitor, hero, Hollywood player, Muslim, Christian, yogi, stateless, refugee, deportee, citizen. But all these labels have one thing in common: they serve someone else’s agenda. Now, for the first time, the New York Times bestselling author of Son of Hamas tells the full truth of his story. In it we see him

  • growing up as the son of one of the founders of Hamas,
  • being imprisoned and tortured by the Israelis,
  • growing to hate the Hamas tactics of rape and violence,
  • working with the Israeli intelligence to expose suicide bombers and save lives,
  • seeking asylum in the US,
  • fighting with Homeland Security to avoid deportation,
  • rejecting Islam and converting to Christianity and making international headlines for it,
  • becoming a top speaker on Middle Eastern affairs and the Israeli/Palestinian conflict,
  • working with Hollywood to tell his story, and
  • obtaining US citizenship and discovering the life-saving discipline of yoga.


This is the inspiring story of someone who has been under threat of assassination or imprisonment for most of his life, but who somehow finds the path to freedom and peace. Few will walk in his shoes, but everyone can follow his example and make their own journey to find redemption and peace.
 
Lakini kwa ufahamu wangu Ayattollah ni cheo.. Na sio jina.. Ayattollah ni kiongozi mkuu wa nchi na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi.. ( Supreme Leader) Huyu ana mamlaka kuliko hata Rais wa Iran.. Alikuwepo Ayattollah Khomeini.. Na sasa yupo Ayattollah Ali Khamenei.. Ukimuua Ayattollah wa sasa atachaguliwa Ayattollah mwingine..
Lengo sio kumuua ayatolla,lengo ni kuend islamic regiem hapo iran
 
Watanzania sijui huwa ni wajinga au ni wapumbavu...Ayatollah sio mtu ni cheo
alikuwepo khomein sasa ni ali khamenei..
Muwe mnasoma na kujua mambo ndo mnapost
Mfano statement hii, "katika mkutano huo Rais ameelekeza"; by default utaelewa ni Rais Nyerere, Mwinyi, Kikwete, au Rais yupi? Mbona wewe ndiye mjinga?
 
Back
Top Bottom