Slavery mentality inakusumbua!Elimu ya kata huwezi kuona ukubwa wa tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slavery mentality inakusumbua!Elimu ya kata huwezi kuona ukubwa wa tatizo
Zanzibar ni Mali ya Ukoo kwa hiyo tuwaache waamue wenyewe hatma yao. Haki haitolewi kwenye sahani kama ubwabwa.
Nitawashangaa sana wazanzibari waliovamia CCM iliyoasisiwa kwa malengo ya kuwavuruga na kuua chama Chao cha ASP na Uhuru wao kama ilivyofanya Tanganyika...
Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu
Na tunavyowajua wapemba tusubiri tuone atakavyoamua maalimu seif
Kupoteza pesaJe, ni nini mwisho wake?
Kwa faida ya nani? Na ili iweje mwisho wa siku?Kupoteza pesa
Kwani haruhusiwi au ulitaka mtoto wako ndio awe mshauri wa mgombea?Aliyevaa koti ni Azizi Hamid Mahmoud, mtoto wa Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Huyu Azizi ambaye ni Mwanasheria, ndiye mshauri wa kisheria wa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Inasemwa kwamba haki sio tu itendeke bali ionekane inatendeka. Kwa hili la Uchaguzi huru na wa haki je?
Hata 2015, mlibweka 🗣️ hivihvi, kimsingi uchaguzi utapita na maisha yataendelea Kama kawaida.Yanayoendelea Zenji sijui kama yatatuacha salama.
Wapemba watafanya Nini🤔?Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu
Na tunavyowajua wapemba tusubiri tuone atakavyoamua maalimu seif
Uchaguzi si unafanyika 28/10 kote bara na visiwani mkuu?Watu bara wataenda kupiga kura huku wakirukaruka.
Zenji 25Uchaguzi si unafanyika 28/10 kote bara na visiwani mkuu?
NdioKwani haruhusiwi au ulitaka mtoto wako ndio awe mshauri wa mgombea?
Kwa tofauti hii ya tarehe maana yake ni kwambaZenji 25
sawa basi msomeshe vizuri atakuwa tu hakuna shida amini hivyo, ila pungunza wivu na majungu havitakusaidia lolote.Ndio
hao unawataja hapa wameiandikisha huko au ndo mnaandaa lawama?Kwa tofauti hii ya tarehe maana yake ni kwamba
JWWTZ
JKT
Polisi
Magereza
Mgambo
Jeshi la akiba (jeshi haramu)
Wote hawa toka Tanganyika watapakiwa ktk majahazi wiki moja kabla kwenda kupiga kura ili kumpa ushindi Mwinyi.
Kumbuka wanapiga kura siku mbili kqbla ya siku ya uchaguzi
Sawasawa basi msomeshe vizuri atakuwa tu hakuna shida amini hivyo, ila pungunza wivu na majungu havitakusaidia lolote.