Zanzibar 2020 Mtoto wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ni Mshauri wa Mgombea Urais wa CCM Dkt. Hussein Mwinyi

Halafu mnashangilia ushetani kama huu kuendelea duniani .

CCM ni chama cha kilusifer .
Marekani taifa la Mabeberu lilojaa ubaguzi mkubwa lakini wanajitahidi kuupunguza kwa kila namna mpaka waafrika wanashika nchi na Kuongoza majimbo mengi sembuse CCM chama cha wezi.
Haki haipatikani bila kila upande kulia na kuona adha ya dhulma.

Hata Mungu hajawahi kuruhusu duniani wanadamu kupata raha kwenye dhulma .Kamwe duniani hapatakua na amani bila haki. Msitegememe rasilimali alizoziumba Mungu kuzitumia peke yenu kwa kudhulumu wengine haitakuja kudumu hiyo dhulma etu Zanzibar yetu . CCM haijaumba hata Chawa sembuse Kisiwa chenye utajiri.

Waarabu na Waafrika Zanzibar walihamia.
Hakuna Mwafrika asili mwenye hulka ya kukaa kisiwani pasipo na misitu wala Mbuga za kuchunga ng'ombe.

Haiwezekana Watu wapiganie Uhuru kudai haki na kisha wao waendeleze dhulma halafu waitegemee kutawala. Shetani na dhulma zake kutawala duniani sasa basi.
 
Mwenyekiti wa NEC 2015 alikuwa shemeji yake Lowasa ila hatukuona CCM wakilia lia , nyie hamna jema, kwa hiyo mtu akiwa mwenyekiti au mjumbe wa NEC au ZEC ndugu zake wote wasishiriki siasa.

Kwa mantiki hiyo hiyo hata ndugu wa Mbowe hawatakiwi kushiriki chochote CDM, ndugu wa Magu hawaruhusiwi kushiriki chochote CCM, akili matope kabisa hizi.
 
Nchi imeharibiwa sana hakuna utawala wa haki na sheria. Tusiwe washabiki wa dhulma; ni makosa makubwa, ni sawa kuanza kula nyama ya Binadamu, haitaishia hapo! Ukimaliza wapinzani utaanza kudhulumu ccm wenzio, kwani hatujashuhudia haya?
Nape Nauye aliwahi kunyooshewa bastola mchana kweupeee na maccm wenzake.
 
Dr Hussein Mwinyi atajuta kwa nini alikubali kuteuliwa kuwa mgombea wa ZNZ. Kwanza Dr Hussein kwa haiba yake si mtu anayeziweza siasa za visiwani. Pili wana CCM ZNZ pia hawamkubali kwa kuwa hakuwa chaguo leo. ZNZ yenyewe haijui kwa vile 90% ameishi Tanganyika ambako amewahi kuwa Mbunge wa Mkuranga.
 
Tatizo wewe unalichukulia hili jambo juu juu .Laiti ungejua nani alilazimisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar .Hao wanaotajwa kwamba ndio waasisi wa Muungano ni kiini macho.
 
Sharti lako la tatu ni big NO , Dr. Shein kwao ni Pemba. Usipotoshe watu bwamkubwa.
 
Kwa kuongezea ni kwamba Kuna wataslam wa kuiba kura ambao 2015 walikuwa kwenye nyumba masaki wakibadilisha kura zilizotoka nchi nzima , wamepitishwa bila kupingwa kwenye ubunge ili waende kusaidia goli la mkono Zanzibar this is from reliable source.
Kipindi hiki ukiongea jambo lolote negative kuhusu uchaguzi utajizolea likes za kutosha hata kama hakuna uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…