Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #61
Toka nimemuoa huyu inkoskazi wangu cjawahi kulala nje kwasababu ya kimada,huyu my gelfrendi wangu namalizana naye kibingwa mchana,ucku nakuwa na my wife wanguBbaba wa kambo mwenyewe hajafunzwa maana angefunzwa asingemuacha mkewe analiwa na mbu anaenda kuhangaika na watoto wa wanaume wenzie:hatari:
Toka nimemuoa huyu inkoskazi wangu cjawahi kulala nje kwasababu ya kimada,huyu my gelfrendi wangu namalizana naye kibingwa mchana,ucku nakuwa na my wife wangu
Duh! Hasara ipi tena?
hahahahahaaa hii ni nyumba ndogo yangu sio my wife wangu wa kunyumba
Hakuna uzito wowote wala usijalimhh kazi kwelikweli!!!
Hakuna uzito wowote wala usijali
Mie kwa huyu mwanamke wala hanioni hasara mpaka huwa anajiuliza kwann Mungu kanifanya kuwa Mtz,yaani anaona kama Mungu kachelewa ku2kutanisha,yaani na mie ningekuwa Msouth labda tungeanza uhusiano ktambo,hataki kabisa nirudi TzHasara kwa huyo unayemwita mke wako kuangukiwa na mzigo kama wewe!Tabu tupu!
Chwechwe na Washawasha mnaroho mbaya kama ndugu wa mume:lol:
Haya bananajua kabisa wepesiii kama ubua:lol:
ndugu w mke je? una2chokoza eeeh.
Nina mikakati ya kuachana naye,sababu kubwa ni huyu mwanaweyaani nusura nikuonee huruma kumbe ni nyumba ndogo; well unless unataka kufanya mapinduzi makubwa kunyumba vinginevyo aidha uendane naye na mtoto wake au uachane naye ukae "kifamilia zaidi".
Sumu inasemekana ishachakachuliwa na wachina,ni mwendo wa kusagiwa chupa na kukorogewa cement unywehahahahahaaha haya bwana mmeshinda msije kuungana mkanikorogea sumu bure:hatari:
mhh kwaherini hamfai,halahala nafsi yangu ngoja nkalale:lol:Sumu inasemekana ishachakachuliwa na wachina,ni mwendo wa kusagiwa chupa na kukorogewa cement unywe
U
Huyu jamaa bado fresh kaingia jana na mie ndiye niliyempeleka akamuone my gelfrendi wangu,labda walikuwa wanafanya mapenzi kwa kutumia video callHapo uwa mnaenda wawili na huyu kinda hakutaki maana yule mwingine labda ndio babae akienda kuna mambo anamfanyia ambayo wewe humfanyii labda zawadi na nguo kwa huyo kinda.
Ila kwa babu Muhimu maana utakuwa unapekuwa na yule mwingine na anapekuwa hatari sana.
Alfajiri njemamhh kwaherini hamfai,halahala nafsi yangu ngoja nkalale:lol:
usiku bwana alfajiri imetoka wapi saa hizi:A S clock:Alfajiri njema
Wajameni,si kumeshakucha!usiku bwana alfajiri imetoka wapi saa hizi:A S clock:
Toka nimemuoa huyu inkoskazi wangu cjawahi kulala nje kwasababu ya kimada,huyu my gelfrendi wangu namalizana naye kibingwa mchana,ucku nakuwa na my wife wangu