Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna noma nitakipa makonziMgide nakozi
Kiswanglish'My girlfriend wangu' ndio nini? Mbona unatuchanganyia mafenesi,madalanzi na malimao!.
Sawa dcd nitatulia na my wife wanguTulia na mkeo punguza um****
Kwenda kwa mwanamke noma bana,huwa nakwenda lkn cjickii rahaWashawasha bana mrudie muumba wako utubu dhambi unayofanya mungu hapendi kabisa, yaani umekodi kabisa pango, ina maana wewe na dem wako mnakutania hapo,kwa nini usiende kwake kama uko peke yako kwake? au wanakuja tofautitofauti?
hahahahahaaa hii ni nyumba ndogo yangu sio my wife wangu wa kunyumba
nimegundua wanaJF[i inclusive] tuna muda wa kupoteza kwa kuchangia mada hewa kama hii!
roho mbaya mbona wewe hujafa tokea juzi . Koroga hiyo sumu uionje test yake basi . Umenkera saaaaana
kama nimekukera fanya fanya na ww upate sumu yako y kunywa kabla hazijapanda bei ....
tupatie na tabia za mtoto wako basi mana huyo wa mwenzio unamdiss sana./////////
hivi huwa zinapandaga bei,ngoja niwahi kabla haijapanda:lol::lol::lol:
Habari zenu za usiku huu wanajamvi,
Ni hivi mimi nina My girlfriend wangu ambaye teyari ana mtoto na jamaa mwengine,ila huyu mtoto wake hajatulia kwa kweli na huyu mama yake simuoni kuchukua hatua zozote kuhusu hilo anamdekeza sana bana mie inaniuma lakini nikumuambia anasema mie silipendi kinda lake hilo,
Siku moja nilikwenda na rafiki yangu kumtembelea yaani ilikuwa ni aibu mara kamsachi huyo rafiki yangu,mara kutoka nje kaanza kurusha mawe ndani,mara kachukua chupa ya konyagi tuliyokuwa tunakunywa na kupiga fundo moja,yaani ni maudhi kwa kweli kwenda kumtembelea na hata anapotaka kuja kunitembelea akiniambia anakuja na hilo kinda lake binafsi nakosa raha najua lazima atanitia aibu/hasara ya kuvunja vitu,
Kuna cku uzalendo ulinishinda nikamuambia kuwa huyu mtoto wako kwa kweli mie siikubali tabia yake yaani umemlea kama yai unaogopa lisipasuke,basi adhabu niliyopewa ni kunyimwa uroda miezi mitatu.
Naomba ushauri wenu wana jamvi nimfanyeje mama yake ili amrekebishe huyu mtoto wake?
Kwa nini unakula makombo?
Tafuta mwanamke ambaye hajazaa!
Ujanja wote huo mtoto wa kwanza umeanziwa na mwenzio. Nunua mpya achana na "second hand" zinasumbua sana.
watu wengine bwana..sasa kama si mkeo vyakuhusu nini..kama umefwata starehe we concentrate na hiyo starehe,ya mwanae mwachie yeye.
pilipili usioila yakuwashia nini?hee!!vya ndani vimekushinda umetoka nje nako unataka kuingilia maisha ya watu.tulizana eother na mkeo au umwache mtoto wa watu hata kama kaharibika..siku zote mtu huwezi jua matatizo ya wanao,watu wa nje ndo wanajua,so usijipongeze eti wanao unawapeleka kijeshi hawana tabia hizo..yawezekana hawana hizo ila wana tabia nyingine mbaya kuliko za huyo mwana umsemaye..
FANYA KILICHOKUPELEKA