Mtoto wa nje ya ndoa anaruhusiwa kurithi, mahakama ya rufaa yasema

Mtoto wa nje ya ndoa anaruhusiwa kurithi, mahakama ya rufaa yasema

Wosia ukiandikwa unahifadhiwa wapi??

Ova

Zipo sehemu zinazokubalika kosheria na kiutaratibu kuhifadhi wosia.
1. Benki
2. Mahakamani
3. Kwenye ofisi ya mwanasheria
4. Kwenye ofisi ya kabidhi wasii mkuu- RITA
5. Kanisani au Msikitini panaweza kutunza Wosia halali. Mahakama ya Kadhi inaweza kutunza Wosia halali wa marehemu kwa upande wa Zanzibar.
 
Zipo sehemu zinazokubalika kosheria na kiutaratibu kuhifadhi wosia.
1. Benki
2. Mahakamani
3. Kwenye ofisi ya mwanasheria
4. Kwenye ofisi ya kabidhi wasii mkuu- RITA
5. Kanisani au Msikitini panaweza kutunza Wosia halali. Mahakama ya Kadhi inaweza kutunza Wosia halali wa marehemu kwa upande wa Zanzibar.
Sawa,je wosia anayetunza ana tunza kwa siri au ?

Ova
 
Sawa,je wosia anayetunza ana tunza kwa siri au ?

Ova

Wosia ni siri mkuu. Pili mnufaika wa mirathi hatakiwi kufahamu juu ya nini kimeandikwa kwenye Wosia. Mashahidi wa wosia hawatakiwi kiwa wanufaika, na wanaapa kutunza siri hiyo mpaka pale utakapo hitajika (Baada ya marehemu kufariki).

Maeneo hayo yametajwa kisheria kutunza Wosia kwa kigezo cha Usiri na Usalama wa wosia wenyewe.

Wosia unatolewa punde tuu, mwenye wosia anapofariki. Wapo watu wanaandika kwenye wosia wao hadi namna ya Maziko yao kama mwongozo wanavyotaka wazikwe.
 
Wosia ni siri mkuu. Pili mnufaika wa mirathi hatakiwi kufahamu juu ya nini kimeandikwa kwenye Wosia. Mashahidi wa wosia hawatakiwi kiwa wanufaika, na wanaapa kutunza siri hiyo mpaka pale utakapo hitajika (Baada ya marehemu kufariki).

Maeneo hayo yametajwa kisheria kutunza Wosia kwa kigezo cha Usiri na Usalama wa wosia wenyewe.

Wosia unatolewa punde tuu, mwenye wosia anapofariki. Wapo watu wanaandika kwenye wosia wao hadi namna ya Maziko yao kama mwongozo wanavyotaka wazikwe.
Aise asanye kwa kunipa elimu
Kuna wakati fulani niliendaga msiba mmoja baada ya kuzika
Alisimama jaji samata alitaja wosia aliouacha mzee si mchezo
Akupindisha maneno yaani pale ilikuwa nyeupe nyeupe nyekundu nyekundu 😄
Kila mtu alijuwa mstakabali wake

Ova
 
mtoto wa nje ya ndoa ndio kitu gani kwanza

mtoto atambulike kwa mzazi wake basi haya ya ndoa ndio kitu gani
 
Mwanangu Nyafwili utaingia kwenye vita 3 ya dunia 😄
Maana tumbo moja watoto wanatoana ngeu sembuse wewe
😄

Ova
Vita ya mirathi ni mbaya sana mkuu ... 😁😁, mpaka sasa wawili wamekufa kwa vifo vya ajabu ajabu.. Mimi nipo na wa-zoom tu 🧐🧐


. Mwenyezi mungu alichonipa kinanitosha kabisa kwa maisha ya hapa duniani 🙏🙏
 
Aise asanye kwa kunipa elimu
Kuna wakati fulani niliendaga msiba mmoja baada ya kuzika
Alisimama jaji samata alitaja wosia aliouacha mzee si mchezo
Akupindisha maneno yaani pale ilikuwa nyeupe nyeupe nyekundu nyekundu 😄
Kila mtu alijuwa mstakabali wake

Ova

Mkuu Mrangi kuna kuwaga namna kelele, ambae hajaridhika anaruhusiwa mwenda kuupinga Wosia mahakamani.
 
Watoto ni watoto tu nnje ya ndoa ndio ujinga gani huo🤔
 
Zipo sehemu zinazokubalika kosheria na kiutaratibu kuhifadhi wosia.
1. Benki
2. Mahakamani
3. Kwenye ofisi ya mwanasheria
4. Kwenye ofisi ya kabidhi wasii mkuu- RITA
5. Kanisani au Msikitini panaweza kutunza Wosia halali. Mahakama ya Kadhi inaweza kutunza Wosia halali wa marehemu kwa upande wa Zanzibar.
Sehemu yoyote ambapo kuna binadamu, kufanya mabadiliko yoyote kwenye wosia inawezekana.
Ni muhimu unapokuwa hai kuweka mazingira kwa kila mmoja mnufaika, ajue anatakiwa asimaie wapi kwenye mali za familia.​
 
Nasikitika kwenye hilo shauri waliokuwa wakibishana wote ni Waislamu,wameenda kuwasaidia wanaopinga mirathi ya Kiislamu.
 
Vita ya mirathi ni mbaya sana mkuu ... [emoji16][emoji16], mpaka sasa wawili wamekufa kwa vifo vya ajabu ajabu.. Mimi nipo na wa-zoom tu [emoji3166][emoji3166]


. Mwenyezi mungu alichonipa kinanitosha kabisa kwa maisha ya hapa duniani [emoji120][emoji120]
Kifo kipo tu hata usipogombea mirathi bado utakufa tu!!
 
Kwa mfano, Nimezaa na mwanamke nje.

Ila huyo mtoto Mimi nikakataa kumtambua kama wangu.

Alafu Mwanamke huyo wa Nje, akamtambulisha Kwa ndugu zangu.

Kwahiyo Et kisa Ndugu zangu wametambulishwa, ndo sasa mtoto APATE mgao??.


Nawapa hii, Kuna demu juzi Kati hapa, Jamaa yake kampiga chini ,kisa kuko hivo

Demu ana mtoto mchanga, huyo mtoto mchanga ana kadi Tatu, na Kila Kadi Ina Baba wake, yaani mtoto ana Baba watatu.


Huyu demu Kila Baba alikua ni wake, na hata Ndugu za Jama yangu walikua ni wao.

Kwahiyo hapo ikitokea Jamaa kafa, huyo mtotowrmye Baba watatu apewe mgao??.


NADHAN MAHAKAMA HII IKIWA NA MAJAJI WATATU, IMEENDELEA KUDHIHIRISHA KUA TANZANIA TUNA WATU WAJINGA SANA WENYE ELIMU LKN HAWANA MAARIFA.


Nadhani Mahakama ingetengeneza Msingi wa Uhalali wa mtoto utokane utokane na DNA, na kwamba Bila kujalisha mtoto alitambulishwa au Lah, kwakua DNA haidanganyi, basi Mtoto wa Nje apate urithi Kwa haki yake ya DNA nasio kutambulishwa

Kama kutambulishwa , kwani wangapi wametambulishwa lkn sio watoto wa Damu zetu??.

Hili Sasa linaenda kufanya WANAUME WAWAKATAE WATOTO NA MIMBA , mapema kabisa.

Lakini Pia wanaume Sasa, Ni marufuku mchepuko Kuruhusu afahamiane na Ndugu zako.
Saiv ni mwendo wa ndomu mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom