Wosia ukiandikwa unahifadhiwa wapi??
Ova
Sawa,je wosia anayetunza ana tunza kwa siri au ?Zipo sehemu zinazokubalika kosheria na kiutaratibu kuhifadhi wosia.
1. Benki
2. Mahakamani
3. Kwenye ofisi ya mwanasheria
4. Kwenye ofisi ya kabidhi wasii mkuu- RITA
5. Kanisani au Msikitini panaweza kutunza Wosia halali. Mahakama ya Kadhi inaweza kutunza Wosia halali wa marehemu kwa upande wa Zanzibar.
Sawa,je wosia anayetunza ana tunza kwa siri au ?
Ova
Hapana mfano wewe siku mmeo anakufa ndugu wanakwambia anawatoto watanoSiyo shida piailimradi ni mtoto wa muhusika.
Hizi Mali zipo tu na tunaziacha mkuu.Tusikunje mioyo sana
Aise asanye kwa kunipa elimuWosia ni siri mkuu. Pili mnufaika wa mirathi hatakiwi kufahamu juu ya nini kimeandikwa kwenye Wosia. Mashahidi wa wosia hawatakiwi kiwa wanufaika, na wanaapa kutunza siri hiyo mpaka pale utakapo hitajika (Baada ya marehemu kufariki).
Maeneo hayo yametajwa kisheria kutunza Wosia kwa kigezo cha Usiri na Usalama wa wosia wenyewe.
Wosia unatolewa punde tuu, mwenye wosia anapofariki. Wapo watu wanaandika kwenye wosia wao hadi namna ya Maziko yao kama mwongozo wanavyotaka wazikwe.
Ni sawa tu ... tunagawana mkuuHapana mfano wewe siku mmeo anakufa ndugu wanakwambia anawatoto watano
Hapana hiyo haitakiwa ndugu wanaweza kutumia mwanya huo kufanya utapeli Kwa kigezo Cha kuwa walitambilishwa na marehemuNi sawa tu ... tunagawana mkuu
Vita ya mirathi ni mbaya sana mkuu ... 😁😁, mpaka sasa wawili wamekufa kwa vifo vya ajabu ajabu.. Mimi nipo na wa-zoom tu 🧐🧐Mwanangu Nyafwili utaingia kwenye vita 3 ya dunia 😄
Maana tumbo moja watoto wanatoana ngeu sembuse wewe
😄
Ova
Aise asanye kwa kunipa elimu
Kuna wakati fulani niliendaga msiba mmoja baada ya kuzika
Alisimama jaji samata alitaja wosia aliouacha mzee si mchezo
Akupindisha maneno yaani pale ilikuwa nyeupe nyeupe nyekundu nyekundu 😄
Kila mtu alijuwa mstakabali wake
Ova
Inabidi watajwe kwenye wosia kama hawajatajwa basiHapo wosia utazingatiwa
Zipo sehemu zinazokubalika kosheria na kiutaratibu kuhifadhi wosia.
1. Benki
2. Mahakamani
3. Kwenye ofisi ya mwanasheria
4. Kwenye ofisi ya kabidhi wasii mkuu- RITA
5. Kanisani au Msikitini panaweza kutunza Wosia halali. Mahakama ya Kadhi inaweza kutunza Wosia halali wa marehemu kwa upande wa Zanzibar.
Kifo kipo tu hata usipogombea mirathi bado utakufa tu!!Vita ya mirathi ni mbaya sana mkuu ... [emoji16][emoji16], mpaka sasa wawili wamekufa kwa vifo vya ajabu ajabu.. Mimi nipo na wa-zoom tu [emoji3166][emoji3166]
. Mwenyezi mungu alichonipa kinanitosha kabisa kwa maisha ya hapa duniani [emoji120][emoji120]
Saiv ni mwendo wa ndomu mwanzo mwishoKwa mfano, Nimezaa na mwanamke nje.
Ila huyo mtoto Mimi nikakataa kumtambua kama wangu.
Alafu Mwanamke huyo wa Nje, akamtambulisha Kwa ndugu zangu.
Kwahiyo Et kisa Ndugu zangu wametambulishwa, ndo sasa mtoto APATE mgao??.
Nawapa hii, Kuna demu juzi Kati hapa, Jamaa yake kampiga chini ,kisa kuko hivo
Demu ana mtoto mchanga, huyo mtoto mchanga ana kadi Tatu, na Kila Kadi Ina Baba wake, yaani mtoto ana Baba watatu.
Huyu demu Kila Baba alikua ni wake, na hata Ndugu za Jama yangu walikua ni wao.
Kwahiyo hapo ikitokea Jamaa kafa, huyo mtotowrmye Baba watatu apewe mgao??.
NADHAN MAHAKAMA HII IKIWA NA MAJAJI WATATU, IMEENDELEA KUDHIHIRISHA KUA TANZANIA TUNA WATU WAJINGA SANA WENYE ELIMU LKN HAWANA MAARIFA.
Nadhani Mahakama ingetengeneza Msingi wa Uhalali wa mtoto utokane utokane na DNA, na kwamba Bila kujalisha mtoto alitambulishwa au Lah, kwakua DNA haidanganyi, basi Mtoto wa Nje apate urithi Kwa haki yake ya DNA nasio kutambulishwa
Kama kutambulishwa , kwani wangapi wametambulishwa lkn sio watoto wa Damu zetu??.
Hili Sasa linaenda kufanya WANAUME WAWAKATAE WATOTO NA MIMBA , mapema kabisa.
Lakini Pia wanaume Sasa, Ni marufuku mchepuko Kuruhusu afahamiane na Ndugu zako.