Mtoto wa nje ya ndoa anaruhusiwa kurithi, mahakama ya rufaa yasema

Watoto wa nje ya ndo wasiruhusi kurithi maana hawatambuliki kidini Wala kimaila
Mtoto ni mtoto, hakuna cha dini wa Wala bibi wa kidini hapa...Mimi nikizaa nje nitampa kila kitu kama watoto wengine.
 
Mama kakupiga
 
Mwambie ukweli akupe Mali yako ...ushakuwa mtu mzima.
 
Mtoto ni mtoto, hakuna cha dini wa Wala bibi wa kidini hapa...Mimi nikizaa nje nitampa kila kitu kama watoto wengine.
Kumpa unaruhusiwa ila kurithi wataamua watakaokuwa hai maana wewe utakuwa ushakufa labda uwe umemweka kwenye wosia
 
Je kama hakutambulishwa lakini akaomba DNA ifanyike kuthibitisha kuwa ni mtoto wa marehemu?
 
Kwani vipimo hakuna kwanini hoja ya mahakama isingesema vigezo viwili maana wapo watoto feki wa nje ya ndoa na watoto feki mpaka wa ndani ya ndoa yani watoto wa kubambikiwa pasipo kujua ...baba anaweza kumtambulisha mtoto wa nje ya ndoa kumbe huyo mtoto kabambikiwa bila ya yeye kujua ...kanini hizo mahakama pumbavu za ccm zisiseme na vipimo vikidhibitisha hivyo au hata kama hakutambulishwa basi vipimo vya kisayansi vikisibitisha kuwa ni mtoto wake kweli....
 
. Mimi nilinyimwa mirathi kwa sababu ya kuwa mtoto wa nje.... Na dingi alikuwa na mawe ya kutosha 🥸🥸🥸..
.
Kwani Kwenu ujulikani namaanisha Kwa Babu na bibi, Baba zako wakubwa na wadogo na Mashangazi? Na hujawahi kwenda kuishi pamoja na ndugu zako pamoja na Baba yako?
 
Huyo mama yako kwa sasa ana watoto wengine?
 
Kwani Kwenu ujulikani namaanisha Kwa Babu na bibi, Baba zako wakubwa na wadogo na Mashangazi? Na hujawahi kwenda kuishi pamoja na ndugu zako pamoja na Baba yako?
Najulikana fresh tu..... Kwenye vikao vya familia nahudhuria kama kawaida. Sema niliamua kuachana na masuala ya kutegemea mirathi nikazitafuta za kwangu.
 
DNA sio kipimo cha mwisho cha kuthibitisha ,kama baba kamtambulisha kakubali basi inakuwa hivo .sijui kwenye sheria imekaaje
 
mtoto wa nje ya ndoa ndio kitu gani kwanza

mtoto atambulike kwa mzazi wake basi haya ya ndoa ndio kitu gani
Ndio nashangaa. Mtoto akishaletwa duniani ana haki sawa na watoto wengine, haijalishi kapatikana wapi. Mlitumwa mumzae?
Mimi sinaga shida na mali za mtu, kama ana mtoto wa nje huko ahakikishe anamtunza na hata kama nikijua nitamshauri atekeleze majukumu yake.
Na mali atapata kama wanae wengine.
 
Hii inahusu kwa watoto waluoletwa na wanaume vipi wakiletwa na mke ? Atakubalika kurithi ? Labda alimpata kabla hajaolewa hakumsema mapema akajasema baadae na yeye atapata mgao ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…