Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hivi mnajua hakuna mtoto wa nje ya ndoa kwa mwanaume.Bashir Yakub, WAKILI.
+255 714 047 241 .
Tarehe 13/09/2024 Mahakama ya rufaa imeelekeza kuwa mtoto wa nje ya ndoa anatakiwa kupata urithi.
Imeelekeza kuwa urithi wake utakuwa sawa kabisa na watoto wengine ambao wamezaliwa kwenye ndoa. Hakutakuwa na tofauti katika mgao(share).
Imesema jambo la msingi ni kuwa marehemu kabla ya kifo chake awe amemtambua kama mtoto wake.
Na ikasema kumtambua ni pamoja na kuwa amemtambulisha mtoto huyo kwa ndugu na jamaa au namna nyingine ya wazi kuwa huyu alikuwa mtoto wake.
Mahakama ya rufaa ndiyo Mahakama ya juu zaidi na ya mwisho Tanzania ambapo maamuzi hutolewa na Majaji watatu.
Soma Pia: Watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mali zilizopatikana ndàni ya ndoa
Mahakama imeyasema hayo katika rufaa Na.686/2023 kati ya MIRAJI SALIM NYANGASA dhidi ya RAMADHAN OMARY SEWANDO.
Mahakama imesema hivyo wakati ikitafsiri vifungu vya 5(2) na 10 vya Sheria ya Mtoto 2009 pamoja Ibara ya 2(1) ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Mtoto wa 1989.
Kwa msingi huu yeyote ambaye angetaka mtoto wake wa nje ya ndoa aweze kurithi baada ya kifo chake ni vema kumtambulisha na kuhakikisha ndugu wanamjua. Sio lazima wawe ndugu wote lakini hata baadhi.
Ikiwa utamficha na hakuna ndugu yeyote anamjua akaja kuletwa baada ya kifo chako ataweza kukosa urithi. Na hatakosa kwasababu ni mtoto wa nje ya ndoa bali kwasababu hatambuliki.
Kwahiyo msifiche watoto, japo huwa mnaogopa wake au waume zenu. Mtambulishe hata kwa baadhi tu ya ndugu unaowaamini ili asipoteze haki yake utakapokuwa umeondoka.
Wasirithi kisa Dini ??? Kwani Dini ndiyo imewazaaWatoto wa nje ya ndo wasiruhusi kurithi maana hawatambuliki kidini Wala kimaila
lakini hiyo kesi bado imewachinjia baharini watoto wa nje ya ndoa kwenye mirathi ya kiislam. labda tukubaliane na hilo. watoto wa nje ya ndoa wanaotambulika kwenye urithi kwa mujibu wa maamuzi hayo ni wale wa kikristo, wale wapagani, wahindu na wengine ambao sio waislam. ila kama mirathi inagawanywa kwa kiislam, mtoto wa nje ya ndoa msimamo upo palepale, HARITHI CHOCHOTE, ni mtoto haram, labda kama kulikuwa na share kweney wasia isiyozidi 1/3. ambayo nayo atapata sio kama mrithi, ni zawadi tu anayoweza kupewa mtu mwingine yeyote.Bashir Yakub, WAKILI.
+255 714 047 241 .
Tarehe 13/09/2024 Mahakama ya rufaa imeelekeza kuwa mtoto wa nje ya ndoa anatakiwa kupata urithi.
Imeelekeza kuwa urithi wake utakuwa sawa kabisa na watoto wengine ambao wamezaliwa kwenye ndoa. Hakutakuwa na tofauti katika mgao(share).
Imesema jambo la msingi ni kuwa marehemu kabla ya kifo chake awe amemtambua kama mtoto wake.
Na ikasema kumtambua ni pamoja na kuwa amemtambulisha mtoto huyo kwa ndugu na jamaa au namna nyingine ya wazi kuwa huyu alikuwa mtoto wake.
Mahakama ya rufaa ndiyo Mahakama ya juu zaidi na ya mwisho Tanzania ambapo maamuzi hutolewa na Majaji watatu.
Soma Pia: Watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mali zilizopatikana ndàni ya ndoa
Mahakama imeyasema hayo katika rufaa Na.686/2023 kati ya MIRAJI SALIM NYANGASA dhidi ya RAMADHAN OMARY SEWANDO.
Mahakama imesema hivyo wakati ikitafsiri vifungu vya 5(2) na 10 vya Sheria ya Mtoto 2009 pamoja Ibara ya 2(1) ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Mtoto wa 1989.
Kwa msingi huu yeyote ambaye angetaka mtoto wake wa nje ya ndoa aweze kurithi baada ya kifo chake ni vema kumtambulisha na kuhakikisha ndugu wanamjua. Sio lazima wawe ndugu wote lakini hata baadhi.
Ikiwa utamficha na hakuna ndugu yeyote anamjua akaja kuletwa baada ya kifo chako ataweza kukosa urithi. Na hatakosa kwasababu ni mtoto wa nje ya ndoa bali kwasababu hatambuliki.
Kwahiyo msifiche watoto, japo huwa mnaogopa wake au waume zenu. Mtambulishe hata kwa baadhi tu ya ndugu unaowaamini ili asipoteze haki yake utakapokuwa umeondoka.
Hapana hawatambilikiWasirithi kisa Dini ??? Kwani Dini ndiyo imewazaa
itakayofuata itakuwa na mwanamke aliyezaa na huyo mbaba lazima naye apewe urithiWatoto wa nje ya ndo wasiruhusi kurithi maana hawatambuliki kidini Wala kimaila
Sheria za dini zisikutishe, Mahakama ndiyo inatafsiri sheria zilizotungwa na Bunge letu tukufu,wala usihofu,na Mahakama ya juu kabisa imeshapigilia msumari!!lakini hiyo kesi bado imewachinjia baharini watoto wa nje ya ndoa kwenye mirathi ya kiislam. labda tukubaliane na hilo. watoto wa nje ya ndoa wanaotambulika kwenye urithi kwa mujibu wa maamuzi hayo ni wale wa kikristo, wale wapagani, wahindu na wengine ambao sio waislam. ila kama mirathi inagawanywa kwa kiislam, mtoto wa nje ya ndoa msimamo upo palepale, HARITHI CHOCHOTE, ni mtoto haram, labda kama kulikuwa na share kweney wasia isiyozidi 1/3. ambayo nayo atapata sio kama mrithi, ni zawadi tu anayoweza kupewa mtu mwingine yeyote.
sheria ya kiislam inaumiza sana watu kwenye mirathi, ninyi wazazi mmezini huyo mkazaa mtoto nje ya ndoa, mtoto aliyezaliwa ana kosa gani? yeye amejikuta tu amezaliwa ila anaadhibiwa kwa makosa ya wazazi wake, haki ipo wapi hapo?
nawakaribisha masingle mothers, ambao ni waislam muukimbie uislam mara moja kwa sababu watoto wenu wanatambulika ni haram na hawatarithi chochote toka kwa baba yao. na ninyi msio waislam, jipendekezeni tu kwa waislam wawatie mimba, hat akama ni tajiri mwenye mabasi kisheria mwanao hatarithi chochote, labda kwa wosia ambao ni wachache huwa wanakumbuka kuandika.
Ndo Ivo kama tunataka tuunze maadili hili jambo lipigwe marufuku.itakayofuata itakuwa na mwanamke aliyezaa na huyo mbaba lazima naye apewe urithi
Ahsante kwa kunieleweshaMke hana entittlement ya mtoto. Mtoto huwa ni wa baba so it works like that. Tunaishi kwenye patrilinieal kinship system not otherwise.
Kupenda minyanduanoHii imekaa poa sana,wanaume watatumia sana condoms safari hii 🤭
Eti utakulaje pipi na Ganda lake.Okee okee🥴
SijaelewaKupenda minyanduano
Mtoto wa nje ya ndoa yupi maana wapo wawili,Bashir Yakub, WAKILI.
+255 714 047 241 .
Tarehe 13/09/2024 Mahakama ya rufaa imeelekeza kuwa mtoto wa nje ya ndoa anatakiwa kupata urithi.
Imeelekeza kuwa urithi wake utakuwa sawa kabisa na watoto wengine ambao wamezaliwa kwenye ndoa. Hakutakuwa na tofauti katika mgao(share).
Imesema jambo la msingi ni kuwa marehemu kabla ya kifo chake awe amemtambua kama mtoto wake.
Na ikasema kumtambua ni pamoja na kuwa amemtambulisha mtoto huyo kwa ndugu na jamaa au namna nyingine ya wazi kuwa huyu alikuwa mtoto wake.
Mahakama ya rufaa ndiyo Mahakama ya juu zaidi na ya mwisho Tanzania ambapo maamuzi hutolewa na Majaji watatu.
Soma Pia: Watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi mali zilizopatikana ndàni ya ndoa
Mahakama imeyasema hayo katika rufaa Na.686/2023 kati ya MIRAJI SALIM NYANGASA dhidi ya RAMADHAN OMARY SEWANDO.
Mahakama imesema hivyo wakati ikitafsiri vifungu vya 5(2) na 10 vya Sheria ya Mtoto 2009 pamoja Ibara ya 2(1) ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Mtoto wa 1989.
Kwa msingi huu yeyote ambaye angetaka mtoto wake wa nje ya ndoa aweze kurithi baada ya kifo chake ni vema kumtambulisha na kuhakikisha ndugu wanamjua. Sio lazima wawe ndugu wote lakini hata baadhi.
Ikiwa utamficha na hakuna ndugu yeyote anamjua akaja kuletwa baada ya kifo chako ataweza kukosa urithi. Na hatakosa kwasababu ni mtoto wa nje ya ndoa bali kwasababu hatambuliki.
Kwahiyo msifiche watoto, japo huwa mnaogopa wake au waume zenu. Mtambulishe hata kwa baadhi tu ya ndugu unaowaamini ili asipoteze haki yake utakapokuwa umeondoka.
we ni mwanasheria? nimekuwekea kesi hiyo hapo, isome. ndio imesema hivyo, mtoto wa kambo kwa waislam imebaki palepale, ni mtoto haram.Sheria za dini zisikutishe, Mahakama ndiyo inatafsiri sheria zilizotungwa na Bunge letu tukufu,wala usihofu,na Mahakama ya juu kabisa imeshapigilia msumari!!