Watoto hawauzwi na Wala hawauzwi, Wacha wazae TU kwangu watoto ni wangu na Mimi nitakweda kuzaa kwa wengine, vicious cycle. Baada ya kulitamua hilo wazee walikuja na msemo wa kitanda hakizai haramu. Lakini kama nikizaa na mwanamke ambae Hana mume lazima mtoto ajulikane na watu wote wa familia aiwemo mke wangu.kama ameajiriwa ujue kuna wahuni walifanya kautafiti wakasema 70% ya watu wa maofisini wanatafunana....huko ndiko kwa kuanzia wala usisumbuke kumfuatilia jirani
out of contextWatoto hawauzwi na Wala hawauzwi, Wacha wazae TU kwangu watoto ni wangu na Mimi nitakweda kuzaa kwa wengine, vicious cycle. Baada ya kulitamua hilo wazee walikuja na msemo wa kitanda hakizai haramu. Lakini kama nikizaa na mwanamke ambae Hana mume lazima mtoto ajulikane na watu wote wa familia aiwemo mke wangu.
Hakuna mtu mzinzi duniani, Mwenyezimungu kaumba mume na mke basi, alivyomaliza kuumba akawatengenezea matamanio. Kaka huwezi kutamani kitu kilichokukinaisha. Huwezi kutamani chakula kama umeshiba, huwezi kutamani chocolate wakati unazo na unakula kila siku. Mume hawezi kudisa kama Hana hamu ya kufanya tendo, binadamu anakinai hata ukimpa nyama kila siku atatamani mboga za majani na dagaa. Hakuna mwanamke au mwanaume mwenye sifa zooooote anazohitaji Mwanaume au mwanamke. Sifa nyingine ziko kwa wanaume wenzio na nyingine ziko kwa wanawake wenzio. Huna ubavu wa kumiliki mtu kwa sifa zako pungufu hizo, pengine wewe ni mfupi, mwembamba, mweusi, mweupe una sauti ndogo una sauti kubwa una harufu mbaya, una jasho linalonuka, una gubu, una kibamia, una dude refu mno, una uke unamwaga maji mno, una uke mkavu mno, una matiti makubwa mno, una vititi vidogo mno kama nukta, una kisukari, una sickle cell ni albino, huna hela, jogoo haliwiki vizuri, nk ambayo mwenzio vimemkinai, eti awe na wewe TU milele hata kama una kasoro. Hiyo haiko.Sala ndio alianzisha swala la kuleta mtoto Toka kwa mwanamke mwingine,ndipo Abraham akafanya.
Mwanaume jukumu lake ni kutfta kwa jasho,
Mwanamke kuzaa kwa uchungu,
Akishindwa yeye mwenyewe kwa utaratibu mzuri atamweleza mmewe nini Cha kufanya,
Ndoa ziheshimiwe na watu wote.
Kikubwa tuhimizane kuacha uzinzi ,
Basi mkeo akizaa nje nae akuambie na mtoto abaki pale homeMsaada gani utanipa wewe kwenye hili? maana baba na mama wa mtoto wapo hai na wanajiweza. Wewe mke wangu ninakupenda sana na watoto wako wote na wala sikumaanisha kuwa sikupendi, ila nguvu tu za kiume ndizo zilizonisukuma kumpenda tena mke mwingine ambae hana mume.
Kwani viongozi wa dini ndo hawafanyi dhambi?Zamani ipi mkuu? Mbona leo hiihii hata viongozi wa dini wako wako walawiti wa watoto, wezi, mashoga, nk?
Neno Haram sio tusi bali ni kumaanisha kitu kilicho nje ya utaratibu. Kinyume cha neno Haram ni Halal.Huwa nawashangaa sana wale wanaoita mtoto wa nje ya ndoa ni MWANA HARAMU.... Binadamu bwana...
Somo zuri mkuu, Binadamu wote duniani ni viumbe wa Mungu na hakuna binadamu bora kuliko mwingine.. Wote tunazaliwa tunaishi na tunakufa... Hakuna aliye mkamilifu
Awe Genius, Mjanja, Taahira, kichaa au yupo yupo wote ni wa Mungu na Mungu ana kusudio lake kuwaumba..
Kwa hiyo mimi sioni sababu ya kumtenga mtoto wa nje ya ndoa na kumuita Mwanaharamu!!
Je, una uhakika wote wana changamoto za malezi?Neno Haram sio tusi bali ni kumaanisha kitu kilicho nje ya utaratibu. Kinyume cha neno Haram ni Halal.
Utaratibu unaotambulika popote ni mwanaume kupata mwanamke kwa kufuata taratibu kisha kuanzisha familia na huyo mwanamke then wapate watoto na kuendeleza familia.
Sasa wewe unapita pita huko unakwenda kulala na wanawake hovyo bila taratibu kisha unapata nao watoto then what next?
Na ndio maana watoto wengi ambao wanachangamoto ukiwatafiti utakuta wana matatizo ya malezi especially upande wa baba "Daddy issues".
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wanawake wakizaa nje ya ndoa mtoto atabaki humohumo kwenye ndoa, ni Mali yenu wanandoa, yaani jamaa amepoteza mbegu zake, kitanda hakizai haramu. Kwanini mwanaume ukizaa nje ya ndoa unamficha mtoto wako? Unaogopa nini?Basi mkeo akizaa nje nae akuambie na mtoto abaki pale home
Changamoto ya watoto hawa inasababishwa na mkeo kumkataa mwanao. Unayo nyumba kubwa na chakula kingi Cha kuwatosha watoto wako wote hata wa nje lakini kiboya unamsikiliza mkeo, unamuogopa mkeo unaamua kumtelekeza mwanao, upuuzi mkubwa. Watoto wote wanatoka kwa Mungu na wako.Neno Haram sio tusi bali ni kumaanisha kitu kilicho nje ya utaratibu. Kinyume cha neno Haram ni Halal.
Utaratibu unaotambulika popote ni mwanaume kupata mwanamke kwa kufuata taratibu kisha kuanzisha familia na huyo mwanamke then wapate watoto na kuendeleza familia.
Sasa wewe unapita pita huko unakwenda kulala na wanawake hovyo bila taratibu kisha unapata nao watoto then what next?
Na ndio maana watoto wengi ambao wanachangamoto ukiwatafiti utakuta wana matatizo ya malezi especially upande wa baba "Daddy issues".
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hata beberu hamuombi mkewe kupata kibali cha kutembea na mbuzi mwingine. Mke ni nani hadi umuombe kibali? Kwa taarifa yako wakina mama walio kwenye ndoa wanatembea na kupata mimba bila kukuomba wewe kibali, na huyo mtoto utamlea TU humohumo nyumbani kwako.Wewe hadi unakwenda huko nje bila ridhaa ya mkeo lengo lako ni kutafuta nini sasa?!
Kama unajua una mke basi pata nae watoto. Na kama unataka kupata nje ya mkeo basi akupe ridhaa na iwe kwa sababu za msingi.
Mambo ya kupata watoto hovyo hovyo halafu hamuwapatii malezi bora na mahitaji yao ya msingi ni kujenga kizazi cha vijana na mabinti wa hovyo wasiojitambua .
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ukizaa lazima umwambie mkeo kuwa nimezaa mtoto paleee lakini mama yake simuoi au ninamuoa, wanawake hawana shida Sanna kama akijua kuwa unampenda, unamtumza na unamtosheleza kitandani. Hata wanawake huwa wanachepuka sana SEMA TU kuwa hujui, Hua wanakinai mtu huyohuyo kila siku, lazima atatembea hata na mchungaji, muumini, jirani, mfanyakazi mwenzake, mpenzi wake wa zamani/utotoni au rafiki yako wewe. La sivyo atatembea na meneja wa bank, mtoa vibali au mtoza ushuru.Haya bwana ila ukizaa uache husda mwambie mkeo
Uko sahihi kabisa.Hapo mnamsingizia na kumzushia Mungu, maana mungu ana uwezo mkubwa uliokithiri viwango kuliko wale wanaotengeneza vitasa vya vilango na makufuli. Hivyo kama mpango wa Mungu ungekuwa huo unaousema basi ingekuwa ametengeza uume mmoja kwa uke mmoja tu, yaani kama kufuli na funguo zake tu na wala usingeweza kuzaa na mke ambae sio wako. Unachokisema ni upuuzi tu maana Mungu hawezi kukutengenezea mbegu mabilioni kwenye kende zako kwaajili ya mayai 400 tu ya mkeo ambayo yanapotea kila mwezi wakati wa kubleed. Kaka hata nyumbani kwako ungefuga mabeberu 10 na majike 10 ya mbuzi kila mtu na wake. Narudia tena sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, hivyo
1. Usipoteze mbegu zako kwa kutembea na mwanamke mzee (asiyezaa)
2. usitembee na mwanamke asiyetaka kuzaa (anaetumia njia za uzazi wa mpango)
3. Usitembee na mwanamke ambae ana bleed
4. Usitembee na mwanamke ambae ana mimba tayari
5. Usitembee na mwanamke ambae ana mtoto mchanga
6. Usitembee na mwanamke ambae ni mgonjwa.
Kutembea na wanawake wa aina hii ni sawa na kupanda mbegu kwenye mwamba au kwenye bwawa kama mpumbavu. Mungu kaweka uhai kwenye shahawa usiwe kikojozi hata kwa wasiostahili, bali tembea na mwanamke ambae ana uwezekano wa kupata ujauzito hata kama sio mkeo bro.
Mkuu nenda kasome kwenye Biblia mtoto wa nje ya ndoa MUNGU alikuwa anachukua uamuzi gani.Je, una uhakika wote wana changamoto za malezi?
Mbona mifano ipo mingi tu, mnaowaita haram wana maisha mazuri na hawana changamoto za kimalezi
Hii kwani mwanaume hawezi kuja kuchukua mtoto wake wa kwenye ndoa???Wanawake wakizaa nje ya ndoa mtoto atabaki humohumo kwenye ndoa, ni Mali yenu wanandoa, yaani jamaa amepoteza mbegu zake, kitanda hakizai haramu. Kwanini mwanaume ukizaa nje ya ndoa unamficha mtoto wako? Unaogopa nini?
Eti ni mali yenu wandoa.Wanawake wakizaa nje ya ndoa mtoto atabaki humohumo kwenye ndoa, ni Mali yenu wanandoa, yaani jamaa amepoteza mbegu zake, kitanda hakizai haramu. Kwanini mwanaume ukizaa nje ya ndoa unamficha mtoto wako? Unaogopa nini?
Tatizo letu linaanzia hapo, Mungu alivyompa mwanaume mbegu nyingi kuliko mayai ya mwanamke hakukosea. Amefanya hivyo kwa viumbe wake wote wakiwemo madume ya mbwa, nguruwe,, farasi, punda na hata nguchilo. Mbegu hizo sio kwaajili ya mke mmoja TU. Kuzaa mtoto na kumficha asijulikane kwa mkeo, watoto wako na duguzo ni udhaifu wa hali ya juu sana kwa Mwanaume. Hii ni tabia iliyozoeleka kwa wanaume wenye nguvu za kiume za kubabaisha na kipato Cha kuunganga. Kama mwanaume ana nguvu za kutosha za kiume na malisho ya kutosha hata wanawake 10 watakuwa radhi wawe wake zako.Uko sahihi kabisa.
Sex ni for reproduction.
Shida tumegeuza kuwa starehe