Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

hahahaaaaaaa... eti kwa nini anakubali kuwa apeche alolo wenzake wanakula bata....

Simple answer is, it is not in their DNA. Baba yao hakuwa jambazi. Hawakulelewa kuwa street runners wa dili za baba zao za kupoka na kuuza nchi.

Na huwezi kumpa mtaji mleta mada afanye biashara, the first born of the founding father has been afflicted with episodic neurological issues since childhood. Wale wengine wamewajaribu mavyeo, ikawezekana kwa mmoja, Makongoro. A nauseating buffoon, anadhani Ukuu wa Mkoa ni uchekeshaji. But what the heck, huwezi kumuandama, ni kiongozi gani nchi hii sio buffoon?

Sasa, tatizo la haya majangili ya serikali, yanashindwa kuwasitiri hawa watoto. Andrew kasema yuko stendi ya Mwanza anaelekea D'Salaam. First born wa Mwalimu, pamoja na mental health issues zake, anawaaibisha akija kulia humu kwamba yuko stendi ya Mkoa anakimbia kesi ya child abuse kabambikwa kijijini akigombea hela na watoto.

There is no way in hell Abduli Samia au Miraji Kikwete anapanda basi la Mwanza au kipanya cha kijijini kama usafiri wake wa kudumu. Lakini the CCM cartel hawana sense ya kusema hili linatuabisha majangili. Tuna ma Landcruisers 10,000, tutoe mawili yakae Butiama permanently.

Jana kwenye mkutano Mwanga, Freeman Mbowe ame flash picha ya msafara wa VP Philip Mpango, Kigoma huko, ma Landcruisers 60. Profesa wa Uchumi lakini alipasi kwa kukariri. Basi toeni VX V8 mbili ziwasitiri wale ambao baba zao hawakuiba. You can afford it, mlituambia mnazo za kumwaga, hakusema Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole ??
Haha wale wameridhika na maisha wanaoishi na huduma wanayopewa kutoka serikalini

Ova
 
Brother Andrew unazingua sana ujue, wewe wa kugombea hela na vijukuu kweli?
Point ni kwamba unaposema mtoto kahujumiwa,kwa mfano,unatoa taarifa polisi, mtoto kahujumiwa,polisi wanakuambia,chukua PF3 ,nenda hospitali,fanya hivi na hivi,halafu urudi hapa baadaye,,we will take it from there. Ndiyo utaratibu wa polisi,ili watu wasanii wasilete fujo. Lakini,in this case,that is not happening.
Na hizo hela sijaziona. Mambo shameful yanatokea. Kwa ajili,kidunia,tamaa za pesa haziibui maswali,kwa hiyo watu wanafanya haya makosa.
Tunaongea kuhusu political corruption,tunaulizana vipi,hii corruption imetoka wapi?
Yule Waziri Mkuu mpya wa Uingereza aliposhika mike juzi alikuwa anasema," tutawasadia wananchi,politics za mtu kujinufaisha mwenyewe ni politics za zamani."
Lakini ukweli ni kwamba there is no political corruption. The politicos are behaving just in accordance with what is written in their political textbooks.
Wanafundishwa,"viongozi wanaogopa kuiba,wanaogopa kukamatwa,halafu wanasema,eti,kuiba fedha za umma ni dhambi. Sisi ambao hatuogopi tunaiba,maisha yetu yanakuwa mazuri"
Wale Wagiriki wa zamani walikuwa wanamwambia Socrates"sisi tunafikiria kiongozi anatakiwa kujinufaisha yeye mwenyewe,lakini wewe Socrates unasema nini? Lakini,we are very interested in what you are saying,hebu tueleze kuhusu hizi njozi zako. Unasema nini, kiongozi anatakuwa kuwa msafi? . Please,try and educate us"
Soma ile "The Republic " Utaiona pale in the first chapter.
 
Mimi nimeondoka Dar Novembs,sasa ndio narudi,sasa nipo Kibaha.
Bora Baba, ukapumzike zako Msasani. Hali ikitulia utarudi tena kijijini. Kwasasa kacheze na wajukuu.

* Mnaomsema vibaya na kumcheka si sawa huyu ni Baba na wengine ni babu yenu. Huwa anakuja na kupotea humu, anaandika hivyohivyo na mara nyingi hiyo ya kufukuzwa na walinzi. Hata Msasani alishasema kafukuzwa! ni Andrew Nyerere.
 
Uangalizi upi mtu anaweza hadi kutoroka Jwtz,anapanda bus,anasikiliza radio na hata ukiongea nae km we mwandishi ujipange.
Uzuri hagombani na mtu,ingekua wengine ungesikia 'unanijua mimi nimepigana vita kagera,mtoto wa Nyerere'
Haitaji uangalizi wowote,
Wale waliomfuata kule butiama kawatoroka ndio hao wa kumpeleka uangalizi maalum anawakimbia na anawafungulia sredi JF.
Ni kumuacha tu maisha yake ndo hayo.
Mnasema hataki kutoka kwao,
kumbe Mama hataki atoke nyumbani,
na mtoto babu nae hataki kutoka kwa mamaake amuache mpweke.
Tunae ndugu wa namna hiyo walipomchoka wakapeleka kijijini.
Walishangaa jamaa karudi home na baiskeli,ukiiona utachoka.
Aliipataje hatujui
Hujataja yale yanayomfanye tuone anahitaji uangalizi. Hata kama ni machache, lakini kwa umuhimu wake hayo machache tunaona ni muhimu apatiwe uangalizi.

Ova
 
Point ni kwamba unaposema mtoto kahujumiwa,kwa mfano,unatoa taarifa polisi, mtoto kahujumiwa,polisi wanakuambia,chukua PF3 ,nenda hospitali,fanya hivi na hivi,halafu urudi hapa baadaye,,we will take it from there. Ndiyo utaratibu wa polisi,ili watu wasanii wasilete fujo. Lakini,in this case,that is not happening.
Na hizo hela sijaziona. Mambo shameful yanatokea. Kwa ajili,kidunia,tamaa za pesa haziibui maswali,kwa hiyo watu wanafanya haya makosa.
Tunaongea kuhusu political corruption,tunaulizana vipi,hii corruption imetoka wapi?
Yule Waziri Mkuu mpya wa Uingereza aliposhika mike juzi alikuwa anasema," tutawasadia wananchi,politics za mtu kujinufaisha mwenyewe ni politics za zamani."
Lakini ukweli ni kwamba there is no political corruption. The politicos are behaving just in accordance with what is written in their political textbooks.
Wanafundishwa,"viongozi wanaogopa kuiba,wanaogopa kukamatwa,halafu wanasema,eti,kuiba fedha za umma ni dhambi. Sisi ambao hatuogopi tunaiba,maisha yetu yanakuwa mazuri"
Wale Wagiriki wa zamani walikuwa wanamwambia Socrates"sisi tunafikiria kiongozi anatakiwa kujinufaisha yeye mwenyewe,lakini wewe Socrates unasema nini? Lakini,we are very interested in what you are saying,hebu tueleze kuhusu hizi njozi zako. Unasema nini, kiongozi anatakuwa kuwa msafi? . Please,try and educate us"
Soma ile "The Republic " Utaiona pale in the first chapter.
Daaaaah !! Sawa brother Andrew nimekupata nafikiri umefika salama
 
Point ni kwamba unaposema mtoto kahujumiwa,kwa mfano,unatoa taarifa polisi, mtoto kahujumiwa,polisi wanakuambia,chukua PF3 ,nenda hospitali,fanya hivi na hivi,halafu urudi hapa baadaye,,we will take it from there. Ndiyo utaratibu wa polisi,ili watu wasanii wasilete fujo. Lakini,in this case,that is not happening.
Na hizo hela sijaziona. Mambo shameful yanatokea. Kwa ajili,kidunia,tamaa za pesa haziibui maswali,kwa hiyo watu wanafanya haya makosa.
Tunaongea kuhusu political corruption,tunaulizana vipi,hii corruption imetoka wapi?
Yule Waziri Mkuu mpya wa Uingereza aliposhika mike juzi alikuwa anasema," tutawasadia wananchi,politics za mtu kujinufaisha mwenyewe ni politics za zamani."
Lakini ukweli ni kwamba there is no political corruption. The politicos are behaving just in accordance with what is written in their political textbooks.
Wanafundishwa,"viongozi wanaogopa kuiba,wanaogopa kukamatwa,halafu wanasema,eti,kuiba fedha za umma ni dhambi. Sisi ambao hatuogopi tunaiba,maisha yetu yanakuwa mazuri"
Wale Wagiriki wa zamani walikuwa wanamwambia Socrates"sisi tunafikiria kiongozi anatakiwa kujinufaisha yeye mwenyewe,lakini wewe Socrates unasema nini? Lakini,we are very interested in what you are saying,hebu tueleze kuhusu hizi njozi zako. Unasema nini, kiongozi anatakuwa kuwa msafi? . Please,try and educate us"
Soma ile "The Republic " Utaiona pale in the first chapter.
Poppy Hatonn umeandika kuhusu The Republic.

Unamwambia mtu akisome. Watanzania wengi hawajui Kiingereza bado.

Kuna sehemu nilisikia kuwa Mwalimu Nyerere alikitafsiri hiki kitabu kwenda Kiswahili, lakini hakijachapishwa.

Hizi habari ni kweli?
 
Hujataja yale yanayomfanye tuone anahitaji uangalizi. Hata kama ni machache, lakini kwa umuhimu wake hayo machache tunaona ni muhimu apatiwe uangalizi.

Ova
Hamna chochote cha kumpa uangalizi.na alisema mwenyewe anao ulinzi mda wote.
Na kaandika tena,We ukimuita mlevi wakati yeye si mlevi atakaa kimya hatajibu.
Utaibiwa na wengine kwamba yeye si mlevi,sio kazi yake kukujibu
 
Hapo kwenye kusafiri kwa basi ndio ngachoka kabisa🙌🙌
Watoto wa Nyerere wamejiweka kawaida sana.

Kuna siku zamani miaka ya mwanzo ya tisini nilikutana na dada yao mmoja alikuwa lecturer anafundisha IFM nafikiri Rose yule, alikuwa ndani ya daladala pale kituo cha Palm Beach Upanga anakuja mjini, halafu alikuwa kakosa siti kajisimamia mwenyewe kashika bomba wala hata hajali ameshika hamsini zake.

Watanzania wamepanda basi nao wengi hata hawakumjua huyu mtoto wa Nyerere.

Kwa mwendo ule nikaona hakuwa na mashauzi kabisa.

Sasa nenda tafuta watoto wa marais waliofuata uone ukwasi wao.
 
Watoto wa Nyerere wamejiweka kawaida sana.

Kuna siku zamani miaka ya mwanzo ya tisini nilikutana na dada yao mmoja alikuwa lecturer anafundisha IFM nafikiri Rose yule, alikuwa ndani ya daladala pale kituo cha Palm Beach Upanga anakuja mjini, halafu alikuwa kakosa siti kajisimamia mwenyewe kashika bomba wala hata hajali ameshika hamsini zake.

Watanzania wamepanda basi nao wengi hata hawakumjua huyu mtoto wa Nyerere.

Kwa mwendo ule nikaona hakuwa na mashauzi kabisa.

Sasa nenda tafuta watoto wa marais waliofuata uone ukwasi wao.
Marais gani? huwajui majina au unafiki..unajua si watoto wa marais wote wanabehave vibaya
 
Mtoto yupi?
Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.

Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar.

Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.

Naomba kuwasilisha.
Mbona habari haikukamilika imeandikwa kiudakudaku tu? Huyo mtoto hana jina? Kawahujumu na kitu gani hao wanafunzi? Kwa nini jeshi la polisi lisifanye uchunguzi na kama ni matukio ya kweli achukuliwe hatua za kusheria? Hakuna mtu aliye juu ya sheria
 
Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.

Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar.

Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.

Naomba kuwasilisha.
Kuna siku yatamkuta "MTIRO"
 
Back
Top Bottom