Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wanasema kame nenepeana kwa dola zetu ?Like father, like son!View attachment 3102195
😆😆😆Ndo wanasema kame nenepeana kwa dola zetu ?
Anasoma Feza Schools. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo dogo anakazi Gani ? Analipwaje?
Mkuu punguza ukali wa maneno mtoto hana kosa.Hili toto linakuwa kama uyoga juzijuzi lilikuwa chekechea leo liko hivyo limebalehe haya ndio hufilw ukubwani jitoto broila
Haha kwamba BroilaHili toto linakuwa kama uyoga juzijuzi lilikuwa chekechea leo liko hivyo limebalehe haya ndio hufilw ukubwani jitoto broila
Kuna mahali nimesema hivi kuhusu CCM kubadilisha Watanzania tulivyoitana "ndugu" na kutaka wao waitwe "waheshimiwa"'Like father, like son!
Usikute hao watu wazima wanamheshimu na kunyenyekeaLike father, like son!View attachment 3102195
Sasa anafanya nn Singida sahivi au shule zimefunga.Anasoma Feza Schools. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani huyu mtoto ana kazi yyte ya kulipwa mshahara!!??Like father, like son!View attachment 3102195
Katoa yeye au katoa baba yake na Mama yake kupitia yeye
Humuoni Mama yuko karibu