Ndo kwanza zimefunguliwa juzi, huyo anaweza kukaa nje ya shule na hakna tatizo.Sasa anafanya nn Singida sahivi au shule zimefunga.
Dah,umekosea mkuu kumtamkia ivyo mtoto wa watu,au ww hauna mtoto??Hili toto linakuwa kama uyoga juzijuzi lilikuwa chekechea leo liko hivyo limebalehe haya ndio hufilw ukubwani jitoto broila
Maji hufuata mkondo lo!
Katoa kwenye kibubu chakeKatika umri wake huo, hela ya kununulia hizo ream amepata wapi! Kama amepewa na baba yake basi hizo ni tozo tunazokamuliwa kila siku.
Anafanya kazi gani?Like father, like son!View attachment 3102195
V8 itamuwaisha chap.Ndo kwanza zimefunguliwa juzi, huyo anaweza kukaa nje ya shule na hakna tatizo.
ππππππ
hana kazi, ni mwanafunzi wa FEZA, ada ni mil.9, ila babake alisema msimwite "tozo" manake awali watu walimtukana ati huyo ni toto wa tozo. amemwingiza kwenye siasa, akitukanwa anatakiwa kuvumilia, siasa mchezo mchafu.Huyo dogo anakazi Gani ? Analipwaje?
Ila hapo inasomeka LIMLike father, like son!View attachment 3102195
Awanasiasa bhana alafu watakwambia hii kazi inalawama sana ...huku watoto wanaandaliwa mapema..Like father, like son!View attachment 3102195
Kwa hiyo hako ni kamtoto ka nyoka?Like father, like son!View attachment 3102195