Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Kwa hiyo kila mtu awe mwanasiasa? Nani atamuongoza nani sasa!Halafu Kuna Vijana utawasikia Kijiweni wanasema hawataki Siasa
Endeleeni kukataa Siasa ili muendelee kuongozwa na Watoto wa akina Mwigulu π
Kaenda ziara ya chama.Sasa anafanya nn Singida sahivi au shule zimefunga.
Kwahiyo ni sahihi wengine kuongoza kisa Baba yake ni Kiongozi?Kwa hiyo kila mtu awe mwanasiasa? Nani atamuongoza nani sasa!
Hiyo siyo sahihi, lakini bahati mbaya ni kwamba watoto wanaiga kazi ama tabia za wazazi wao.Kwahiyo ni sahihi wengine kuongoza kisa Baba yake ni Kiongozi?
Ndiyo maana Kuna haja wengine wakaanza ku-practice hizo Siasa, ili waanze kutengeneza njia kwaajili ya watoto zaoHiyo siyo sahihi, lakini bahati mbaya ni kwamba watoto wanaiga kazi ama tabia za wazazi wao.
No wonder hii nchi haitokaa iendelee angalia yalivyokaa kama manyama pori yanafurahia msaada wa elf 20!!Like father, like son!View attachment 3102195
Tanzania πππeti na washikaji makofi mengi sana.
Na kwa jinsi alivyonona, unaweza kukuta kwenye akaunti yake ana bilioni 20 na ushee!Katoa kwenye kibubu chake
Kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]V8 itamuwaisha chap.
Tz nchi ya kinafki sana!Tanzania πππeti na washikaji makofi mengi sana.
Duuuh wenye nchi yaohana kazi, ni mwanafunzi wa FEZA, ada ni mil.9, ila babake alisema msimwite "tozo" manake awali watu walimtukana ati huyo ni toto wa tozo. amemwingiza kwenye siasa, akitukanwa anatakiwa kuvumilia, siasa mchezo mchafu.
Mimi namtazama mtoto huyo kwenye angle ya ki-afya. Mtoto apunguze uzito. Other wise obesity is around the corner.Like father, like son!View attachment 3102195
Waliwahi kusema uvccm mwisho ni miaka 60.Uyo anayepokea naye UVCCM.....?.? N
Watu wazima na mvi mpaka kwenye nyeti wana msujudia mtoto mdogo hivi na makofi utadhani wako madhabauni kwa Mwamposya.Like father, like son!View attachment 3102195
π€£π€£π€£Futuhi
π€£π€£Wa
Watu wazima na mvi mpaka kwenye nyeti wana msujudia mtoto mdogo hivi na makofi utadhani wako madhabauni kwa Mwamposya.