Unaongea kama unajuwa kilichowapeleka Uganda na Kilichoongelewa huko.Tanzania ina wajinga wengi mmojawapo ni wewe..
Huoni conflict of interest kwenye nishati hapo?
Huoni kuna uwezekano bwawa la nyerere na vyanzo vingine vya umeme kuhujumiwa ili prince Dully auze umeme wake?
Tz ina wajinga wengi sana
Ukishakuwa mtoto wa Rais wa Tanzania haki za uraia wa Tanzania unakuwa huna?Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Huyu namsikia sana na sasa ameungana na lile tapeli na kuwadi wa mali zetu "rosti-tamu"Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Hakika,kama anaweza kwenda Uganda kuongea na Museven kuhusu biashara, Tanzannia kwa mama yake ashindwe/akose nini?!!Inaelekea ameenda kupiga deal zake za kampuni binafsi kuwekeza kwenye solar energy Uganda.
π€« Sitoshangaa kusikia kwa upande wa Tanzania hii miradi TANESCO inayoingia ya kununua umeme wa renewables kuna kampuni moja, yeye na mama yake ni wabia (kama sio wamiliki 100%).
Mtoto wa rais ndio rais wa watoto wote tz,Hivi tungeweza kuona picha labda ya mtoto wa Magufuri kakaa hapo? najiuliza tu.
Mtoto wa rais ndio rais wa watoto wote tz,
Hata mbwa wa rais ndio rais wa maumbwa yote tz, mlitaka mumuone disvi au viwanjani kama wale wengine?
Hilo unaloongea ni kwa nchi za kifalme sio taratibu za nchi zinazofuata democrasia kama Tanzania.Mtoto wa rais ndio rais wa watoto wote tz,
Hata mbwa wa rais ndio rais wa maumbwa yote tz, mlitaka mumuone disvi au viwanjani kama wale wengine?
muulize na kinyesi chake je? kitakuwa kinaongoza vinyesi!Na beki tatu wa Rais je?
π π π π π πmuulize na kinyesi chake je? kitakuwa kinaongoza vinyesi!
Na beki tatu wa Rais je?
Yaani ni hivyo hivyo, kila cha rais ndio rais wa hicho kitumuulize na kinyesi chake je? kitakuwa kinaongoza vinyesi!
basi kitakuwa kinapita na ving'ora huko kwenye masm-tankYaani ni hivyo hivyo, kila cha rais ndio rais wa hicho kitu
Vin'gora vya kinyesi nyesi, vyenyewe vinaelewana, ukiona chemba zimeziba ujue kuna foleni, ndio kinapita sasabasi kitakuwa kinapita na ving'ora huko kwenye masm-tank
Uzuri anagonga red wine huyu ni mwenzetu, tunampa membership kwenye Chama letu matako bar.Kama mnavyojua ukiona inzi ujue pembeni kuna Mzoga. Za ndani wadai ni ishu ya Bomba la Mafuta kuna Maokoto yanaokotezwa.View attachment 2718943View attachment 2718944
Nadhani hili hasa ndio swali lenye mantiki. Na ikiwa kama ni kiongozi wa serikali basi anaongoza nini humo serikalini?Ameenda kama mtoto wa rais au kiongozi serikalini?