Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Quote: "Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?"
1. Je, inapendeza kuyaanika mabaya ya mtu hadharani? Unaonaje na yale ya kwako yakaanikwa hapa ukizingatia kwamba hakuna aliye mkamilifu -kila mtu ana mapungufu yake.
2. Uzi hauna ubaya wowote isipokuwa watumiaji ndo tunatofautiana mitazamo.
3. Kumwona au kutokumwona hakunisaidii chochote na wala sitapoteza muda wangu eti kutaka kumfahamu kwani sina maslahi yoyote na mtu huyo.
Vema.Si kila kitu kukichukulia negative tu.Tanguliza positivities mara nyingi zaodi.
 
Wewe umefuata nini kwenye hii thread, kuna pesa?
Mkuu, Ni kweli kwenye hii thread hakuna pesa lakini wapo wengi waliopata ramani (Michongo/Connections)za kupata pesa kwa kupitia humu humu jamvini. Wewe huzisomagi zile post za wanaoshukuru kwa kupata misaada ya hali na mali kutoka kwa wanajamvi? Yan hukusoma hata ile ya binti mTz wa Uturuki?
 
Back
Top Bottom