Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Wahivyo hua wapo free sana,hawana cha kufanya,wanaishi ili mradi tu siku ziende,na mara nyingi hua wanajazwa upepo na Mange,bila shaka hata hiyo screen shot kaitoa huko huko insta,amejitahidi kuicrop ila ni ya Insta,

Unakuta mtu akishashiba chai ya Bimkubwa na kukaa juu ya sofa,anaanza kutafuta cha kupost JF.
Nawe unae'dis umetoka hukohuko insta
 
Maswali gani hayo mkuu? Tafuta pesa acha kutafuta mambo ya wengine ilhali ya kwako hujayafanikisha.
Mkuu,my rule number one;Hakuna swali la kijinga duniani.Unapaswa utulie ujifunze.Watu wana aina nyingi za kufikisha ujumbe.Kazi yako wewe ni aidha kujibu au kuendeleza uchokozi hadi upate jibu.Think twice.Kuna watu wameumbwa ni watunduwatundu tu kwenye kuwasilisha mambo.Ni mbinu tu.
 
Mtoto wa mkuu wa nchi naye pia ni mkuu,hujui kuwa anaweza akapewa uwaziri muda wowote?
Kwa kigezo gani mkuu? Labda inawezekana kwa zile nchi zingine ila sio kwa Tz.
 
Za chini ya kapeti zinasema mama anamwandaa kurithi mikoba.lakini ninaimani wa Tanganyika hatutakubali huo uhuni.labda amrithishe kusafiri angani Kila siku.
Hahaaaaa naye mama anaona kayapatia so anataka amuandae mwanae atutawale watanganyika? Dogo naye atakuwa kinda kama mama yake na atasubiria dereva wa gari atangulie mbele za haki ili achukue kiti kama mama yake aliyekuwa kinda wa basi ila tokana na kifo cha dereva ikabidi yeye ashike sterling kuendesha basi.
 
Ushasema mtoto wa rais, umesahau ule msemo “Mtoto wa nyoka ni nyoka”
Hakuna anayezaliwa kuwa Rais. Nyoka anazaliwa kama nyoka (Biological) Mtu kuja kuwa Rais anapitia mapito na mchakato wake ni mrefu. Urais sio sawa Uchief au Ufalme.
 
Hakuna anayezaliwa kuwa Rais. Nyoka anazaliwa kama nyoka (Biological) Mtu kuja kuwa Rais anapitia mapito na mchakato wake ni mrefu. Urais sio sawa Uchief au Ufalme.
Yy ndo kashazaliwa na rais sasa. Na akimaliza mama yake wananchi tunataka aingie yy. Hapo vipi? 😜
 
Mkuu,my rule number one;Hakuna swali la kijinga duniani.Unapaswa utulie ujifunze.Watu wana aina nyingi za kufikisha ujumbe.Kazi yako wewe ni aidha kujibu au kuendeleza uchokozi hadi upate jibu.Think twice.Kuna watu wameumbwa ni watunduwatundu tu kwenye kuwasilisha mambo.Ni mbinu tu.
Ni kweli ila mbinu nyingine zinachukuliwa kama ni kumtafuta mtu kwa nia ovu(negatively) kwa mfano kama ana secret public scandal ili kumchafua kwa kuiweka hadharani.
 
Ni kweli ila mbinu nyingine zinachukuliwa kama ni kumtafuta mtu kwa nia ovu(negatively) kwa mfano kama ana secret public scandal ili kumchafua kwa kuiweka hadharani.
Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?Kwani uzi una ubaya gani?Kwani haujafurahi kumuona?Au ulishawahi kumuona na kumfahamu kabla ya leo?
 
Kalia chupa isiyo na mfuniko ndiyo tujue unachukia watu wanaoposti JF baada ya kushiba chai ya bi mkubwa.
Yani machoko hua hamjifichi kabisa aisee,ndio hua unakalia chupa kumbe! Tangazo lako limeeleweka japo umeliweka indirect,wanakuja pm kukuweka oda ili wakupelekee moto.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Kawaida Sana hiyo, unaweza usiwaamini wote lakini mtoto wako, lazima utamuqmini kwenye maslahi mapana ya nchi,
Hata Trump, alimtumia Sana Trump junior kwenye haya Mambo, hata, Biden, mtoto wake Hunter Biden, ndie anakuwa mbele kwenye maslahi ya baba na nchi yanapokutana
 
Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?Kwani uzi una ubaya gani?Kwani haujafurahi kumuona?Au ulishawahi kumuona na kumfahamu kabla ya leo?
Quote: "Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?"
1. Je, inapendeza kuyaanika mabaya ya mtu hadharani? Unaonaje na yale ya kwako yakaanikwa hapa ukizingatia kwamba hakuna aliye mkamilifu -kila mtu ana mapungufu yake.
2. Uzi hauna ubaya wowote isipokuwa watumiaji ndo tunatofautiana mitazamo.
3. Kumwona au kutokumwona hakunisaidii chochote na wala sitapoteza muda wangu eti kutaka kumfahamu kwani sina maslahi yoyote na mtu huyo.
 
Kawaida Sana hiyo, unaweza usiwaamini wote lakini mtoto wako, lazima utamuqmini kwenye maslahi mapana ya nchi,
Hata Trump, alimtumia Sana Trump junior kwenye haya Mambo, hata, Biden, mtoto wake Hunter Biden, ndie anakuwa mbele kwenye maslahi ya baba na nchi yanapokutana
Kwa akili hizi kama hii yako, Tanzania ina safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom