Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hiyo picha imepigwa akiwa wapi kwani?Ushasema mtoto wa rais, umesahau ule msemo “Mtoto wa nyoka ni nyoka”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo picha imepigwa akiwa wapi kwani?Ushasema mtoto wa rais, umesahau ule msemo “Mtoto wa nyoka ni nyoka”
Wahivyo hua wapo free sana,hawana cha kufanya,wanaishi ili mradi tu siku ziende,na mara nyingi hua wanajazwa upepo na Mange,bila shaka hata hiyo screen shot kaitoa huko huko insta,amejitahidi kuicrop ila ni ya Insta,Hivi mbna mnakuwa wapuuz hvi ndugu zangu watanganyikaa acheni majungu
Mtoto wa mkuu wa nchi naye pia ni mkuu,hujui kuwa anaweza akapewa uwaziri muda wowote?
Magogoni.Hiyo picha imepigwa akiwa wapi kwani?
Sasa hapo majungu yanatoka wapi?Hivi mbna mnakuwa wapuuz hvi ndugu zangu watanganyikaa acheni majungu
Ukumbini kwenye tafrijaHiyo picha imepigwa akiwa wapi kwani?
Ni mjinga mmoja tu hivi anayeitafuna nchi na majani yake. Watanzania amkeni
Umeonaeeeeee? Hilo jamaa ni bure kabisaHata kuuliza maswali tu nayo haitakiwi?Huu ni uonevu sasa.
Kalia chupa isiyo na mfuniko ndiyo tujue unachukia watu wanaoposti JF baada ya kushiba chai ya bi mkubwa.Wahivyo hua wapo free sana,hawana cha kufanya,wanaishi ili mradi tu siku ziende,na mara nyingi hua wanajazwa upepo na Mange,bila shaka hata hiyo screen shot kaitoa huko huko insta,amejitahidi kuicrop ila ni ya Insta,
Unakuta mtu akishashiba chai ya Bimkubwa na kukaa juu ya sofa,anaanza kutafuta cha kupost JF.
Hawezi kurithi mikobaZa chini ya kapeti zinasema mama anamwandaa kurithi mikoba.lakini ninaimani wa Tanganyika hatutakubali huo uhuni.labda amrithishe kusafiri angani Kila siku.
Hakuna swali la kijinga duniani.Kuna kitu.You better wait!Ukumbini kwenye tafrija
Katoa IG kw mangePicha umeitoa Wapi? 🐼
Katufokea ile mbaya hadi nikajiuliza,kwani tunataka kumuua?Umeonaeeeeee? Hilo jamaa ni bure kabisa
Una akili sana 😂😄😄Katoa IG kw mange
😃😃😃Una akili sana 😂😄😄
Maswali gani hayo mkuu? Tafuta pesa acha kutafuta mambo ya wengine ilhali ya kwako hujayafanikisha.Hata kuuliza maswali tu nayo haitakiwi?Huu ni uonevu sasa.
Aisee! Kala cha nani tena?Ni mjinga mmoja tu hivi anayeitafuna nchi na majani yake. Watanzania amkeni