Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Hivi mbna mnakuwa wapuuz hvi ndugu zangu watanganyikaa acheni majungu
Wahivyo hua wapo free sana,hawana cha kufanya,wanaishi ili mradi tu siku ziende,na mara nyingi hua wanajazwa upepo na Mange,bila shaka hata hiyo screen shot kaitoa huko huko insta,amejitahidi kuicrop ila ni ya Insta,

Unakuta mtu akishashiba chai ya Bimkubwa na kukaa juu ya sofa,anaanza kutafuta cha kupost JF.
 
Wahivyo hua wapo free sana,hawana cha kufanya,wanaishi ili mradi tu siku ziende,na mara nyingi hua wanajazwa upepo na Mange,bila shaka hata hiyo screen shot kaitoa huko huko insta,amejitahidi kuicrop ila ni ya Insta,

Unakuta mtu akishashiba chai ya Bimkubwa na kukaa juu ya sofa,anaanza kutafuta cha kupost JF.
Kalia chupa isiyo na mfuniko ndiyo tujue unachukia watu wanaoposti JF baada ya kushiba chai ya bi mkubwa.
 
Za chini ya kapeti zinasema mama anamwandaa kurithi mikoba.lakini ninaimani wa Tanganyika hatutakubali huo uhuni.labda amrithishe kusafiri angani Kila siku.
Hawezi kurithi mikoba
Zaidi ya kipindi cha mama yake
Anakulaa neema za nchi tu

Ova
 
Back
Top Bottom