Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Unahitaji ridhaa kwenda kufanya mazungumzo ya uwekezaji wako mahala fulani? Imeandikwa wapi?
TABIA hizo za ukuwadi Si njema Kwa mtoto wa kiume,

Unaaibisha wazazi wako!!!

Wewe unaweza kwenda hapo Kenya ukapokelewa IKULU kama mjumbe Kutoka Tanzania?
 
Trump alifanya Kaz na mkwe na ivanka Trump ikulu ya white house

Sasa cjaona kosa la Abdul hafidh Hadi sasa

Kam kichwani Ni mzima bas ateuliwe hata ukurugenzi wa mawasilono ikulu
 
TABIA hizo za ukuwadi Si njema Kwa mtoto wa kiume,

Unaaibisha wazazi wako!!!

Wewe unaweza kwenda hapo Kenya ukapokelewa IKULU kama mjumbe Kutoka Tanzania?
Jibu swali acha kutoka nje ya mada
 
Conflict of Interest kwenye nini?

Huyo ni mwekezaji yupo Uganda kuomba kibali cha mradi wake. Mradi wake umepewa kibali na Rais wa Uganda tena nchini Uganda.

Conflict of Interest ipo wapi? Au unazungumza tu maneno hujui maana yake?
Huo uwekezaji kauanza lini?
 
Wakati mkimshangaa Abdul kukutana na Rais Museveni kuna Member Mmoja maarufu hapa Yeye ndiyo anaishi na kalelewa mno na Rais Museveni na anashirikiana nae Kikazi na Kifamilia.
 
Mama anatukosea sana. Sijui hichi kiti kina nini?? Mtu akikaa hapo hujitoa ufahamu kabisaa..
 
amevunja ibara ipi ya katiba yetu? hii nayo ni post? Ulitaka asiajiriwe? Hivi watu mnawaza kwa kutumia viuongo gani? Hujui mtoto wa Museveni ni mkuu wa majeshi kule Uganda? Na je Rwanda unafahamu watoto wa Kagame wako ktk nafasi zipi. Mtoto wa rais ni dhambi kufanya kazi? Sijawahi ona mtu mpumbavu km wewe.
Kwa hiyo kwako Ikulu kugeuzwa pango la Walanguzi ni sawa siyo??
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?

NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.

Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Waswahili wanapokuwa watawala, familia nzima huwa ni wenye mamlaka.
 
Tatizo ni Yoweri Mseven kuandika kiingereza au tatizo ni mtoto wa Rais kwenda Uganda kukutana na Mseven? Mbona hamna tatzo au watoto wa viongozi hawana haki ya kutembelea viongozi wa nchi au kufanya biashara au kuwekeza? Mi natamani kila mtz awe na akili kubwa
 
...

Ndivyo ilivyo mkuu na ndio maana unaona mtoto wa Abood alimuoa mtoto wa Lukuvi ,,

Inawezekana Rais Samia alimuombea Hafidh hilo shavu la kiuwekezaji.

Hiyo ipo Duniani kote.
Lukuvi huyuhuyu?
... ama kweli kuna haja ya kujihadhari sana na wanasiasa wetu!

👊 😅✌️✌️✌️💥
 
Back
Top Bottom