Nawe unae'dis umetoka hukohuko instaWahivyo hua wapo free sana,hawana cha kufanya,wanaishi ili mradi tu siku ziende,na mara nyingi hua wanajazwa upepo na Mange,bila shaka hata hiyo screen shot kaitoa huko huko insta,amejitahidi kuicrop ila ni ya Insta,
Unakuta mtu akishashiba chai ya Bimkubwa na kukaa juu ya sofa,anaanza kutafuta cha kupost JF.
Mkuu,my rule number one;Hakuna swali la kijinga duniani.Unapaswa utulie ujifunze.Watu wana aina nyingi za kufikisha ujumbe.Kazi yako wewe ni aidha kujibu au kuendeleza uchokozi hadi upate jibu.Think twice.Kuna watu wameumbwa ni watunduwatundu tu kwenye kuwasilisha mambo.Ni mbinu tu.Maswali gani hayo mkuu? Tafuta pesa acha kutafuta mambo ya wengine ilhali ya kwako hujayafanikisha.
Kwa kigezo gani mkuu? Labda inawezekana kwa zile nchi zingine ila sio kwa Tz.Mtoto wa mkuu wa nchi naye pia ni mkuu,hujui kuwa anaweza akapewa uwaziri muda wowote?
Ana cheo cha mtoto wa Rais
Hahaaaaa naye mama anaona kayapatia so anataka amuandae mwanae atutawale watanganyika? Dogo naye atakuwa kinda kama mama yake na atasubiria dereva wa gari atangulie mbele za haki ili achukue kiti kama mama yake aliyekuwa kinda wa basi ila tokana na kifo cha dereva ikabidi yeye ashike sterling kuendesha basi.Za chini ya kapeti zinasema mama anamwandaa kurithi mikoba.lakini ninaimani wa Tanganyika hatutakubali huo uhuni.labda amrithishe kusafiri angani Kila siku.
First Born wa Taifa 🐼Ana cheo cha mtoto wa Rais
Hakuna anayezaliwa kuwa Rais. Nyoka anazaliwa kama nyoka (Biological) Mtu kuja kuwa Rais anapitia mapito na mchakato wake ni mrefu. Urais sio sawa Uchief au Ufalme.Ushasema mtoto wa rais, umesahau ule msemo “Mtoto wa nyoka ni nyoka”
Yy ndo kashazaliwa na rais sasa. Na akimaliza mama yake wananchi tunataka aingie yy. Hapo vipi? 😜Hakuna anayezaliwa kuwa Rais. Nyoka anazaliwa kama nyoka (Biological) Mtu kuja kuwa Rais anapitia mapito na mchakato wake ni mrefu. Urais sio sawa Uchief au Ufalme.
Ni kweli ila mbinu nyingine zinachukuliwa kama ni kumtafuta mtu kwa nia ovu(negatively) kwa mfano kama ana secret public scandal ili kumchafua kwa kuiweka hadharani.Mkuu,my rule number one;Hakuna swali la kijinga duniani.Unapaswa utulie ujifunze.Watu wana aina nyingi za kufikisha ujumbe.Kazi yako wewe ni aidha kujibu au kuendeleza uchokozi hadi upate jibu.Think twice.Kuna watu wameumbwa ni watunduwatundu tu kwenye kuwasilisha mambo.Ni mbinu tu.
Wewe umefuata nini kwenye hii thread, kuna pesa?Maswali gani hayo mkuu? Tafuta pesa acha kutafuta mambo ya wengine ilhali ya kwako hujayafanikisha.
Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?Kwani uzi una ubaya gani?Kwani haujafurahi kumuona?Au ulishawahi kumuona na kumfahamu kabla ya leo?Ni kweli ila mbinu nyingine zinachukuliwa kama ni kumtafuta mtu kwa nia ovu(negatively) kwa mfano kama ana secret public scandal ili kumchafua kwa kuiweka hadharani.
Issue sio Insta,ishu ni Mange kimavi amewashikia akili na anawapiga hela kwa kuwaandikia ujinga ujinga.Nawe unae'dis umetoka hukohuko insta
Yani machoko hua hamjifichi kabisa aisee,ndio hua unakalia chupa kumbe! Tangazo lako limeeleweka japo umeliweka indirect,wanakuja pm kukuweka oda ili wakupelekee moto.Kalia chupa isiyo na mfuniko ndiyo tujue unachukia watu wanaoposti JF baada ya kushiba chai ya bi mkubwa.
Exactly. Hiyo tu inatosha kumfanya kuwa top government official.First Born wa Taifa 🐼
Kawaida Sana hiyo, unaweza usiwaamini wote lakini mtoto wako, lazima utamuqmini kwenye maslahi mapana ya nchi,Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu, ana cheo gani serikalini?
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni, tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?
NB: Imewahi kuandikwa tetesi kua kijana fulani amefungua ofisi Dubai kwenye kasri mojawapo na kua hata DP WORLD ni moja wapo ya mradi wake/wao na waarabu!!.
Kuhoji haya ni kwa nia njema,kama kijana ana kampuni zake za biashara iwekwe wazi Ila pia na wahusika wapime kama yanayofanywa yanatoa taswira hasi ama kua familia imekaa kibiashara tu?
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Quote: "Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?"Kwa hiyo kama ana mabaya yafichwe?Kwani uzi una ubaya gani?Kwani haujafurahi kumuona?Au ulishawahi kumuona na kumfahamu kabla ya leo?
Kwa akili hizi kama hii yako, Tanzania ina safari ndefu sana.Kawaida Sana hiyo, unaweza usiwaamini wote lakini mtoto wako, lazima utamuqmini kwenye maslahi mapana ya nchi,
Hata Trump, alimtumia Sana Trump junior kwenye haya Mambo, hata, Biden, mtoto wake Hunter Biden, ndie anakuwa mbele kwenye maslahi ya baba na nchi yanapokutana