Hiyo mijitu mijinga.Kwani akiwa mtoto wa Rais au asingekuwa mtoto wa Rais na akawa na sifa kama walizonazo watanzania wengine kwa akili yako unafikiri asingepata au kuwa sehemu ya majadiliano au kuongoza msafara au ujumbe? Unafahamu watoto wa Trumph rais mstaafu wa Marekani pamoja na mkwe wake walikuwa na nafasi gani serikalini? Je uliona akipingwa na wamarekani kuwa amevunja katiba kuteua mtoto wake wa kumzaa? Kwani kuwa mtoto wa Rais ni vipi inamnyima haki ya kuwa serikalini? Au kufanya kazi hata ikulu?
Kwamba siku Ukiwa umechoka, unaweza mtuma mkeo akuwakilishe kazini ofisi ya umma?Hii post haina maana yoyote kwani hata wewe unaweza kuwa mjumbe wa kuiwakilisha tanzania. Ni sawa na mtu aliechaguliwa kwenda kutoa posa. Hakuna shida yoyote kwenye hili. Hata wewe ukitaka jambo lako lisikilizwe unamchagua atakaeweza kusikilizwa na upande unaoenda kufanya nao mazungumzo
Tusipende kulalamika kwa kila kitu
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] kijana nimfanyabiashara[emoji15][emoji15][emoji15]🦧View attachment 2715365
Ameuza wapi ,kwa nani ,kwa shilingi ngapi,kwa mkataba upi,wewe umeuzwa kwa shilingi ngapi,malipo yamefanyika kupitia benki gani ,akaunti namba gani, malipo yalifanyika tarehe gani,wapokeaji ni akina nani na mazungumzo ya mazishi yalifanyikia wapi. Kama huna majibu ya hayo basi ni bora ukafunga mdomo wako hapa.Halafu li Wambura linasema eti wanaoandamana wanataka kupindia serikali. Huyu mama anauza tanganyika yetu
Wenzio wanampinga hadharani ila wewe cha uwoga kazi kutukana kwenye keyboard. Toka nje kama kina Mwabukusi na shoga mdude uone kama utaweza kutukana.Samia ni mpuuzi tu, mjinga asiyejielewa, aliyeigeuza hii nchi, rasilimali zake, na ofisi za umma, kuwa kama mali zake binafsi, nitashangaa kama wajinga bado watawalaumu wasaidizi wake kwa huu upuuzi.
Ndio maana ametoa bandari zetu kwa waarabu milele, hii tabia ya kiswahili alikuwa nayo hata yule mwingine, nae akamuacha mtoto wake wa kiume afanye apendavyo, ajabu hawa wanafanana mpaka ujinga?!
Haya ndio matokeo ya kuongozwa na viongozi wasio na kitu kichwani - empty set, wanafanya mambo ya ajabu na aibu, huku wakitegemea yatakuwa siri, bahati nzuri Mungu anawaumbua.
Tanzania ukishakua rais familia nzima ni marais , mpaka mjukuu , tuna nchi ya ajabuRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Mtanikumbuka 😄😄🔥
na bado ccm ni mbele kwa mbeleRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo ndo ridhimoko wa awamu ya 6. Hata mkataba wa bandari yeye ndo alitumwa dukani kununua peni.
Kwani ajira ngapi na watanzania wangapi waliopo katika ofisi za umma unaowafahamu kwa majina na tarehe zao za kuajiriwa ? Kwani kila ajira lazima itangazwe? Kwani wapi katiba ilipovunjwa au kwenda kinyume?Mtu asie na hoja hukimbilia matusi!!
Mifano yako ya watoto wa Kagame na Mseveni ni thibitisho la upumbavu wako. Hao watoto wameajiriwa rasmi na hakuna vificho. Huyo unaemtetea tueleze ameajiriwa wizara gani?!! Ameenda kukubaliana mamboya umeme,kwa cheo gani na kutoka wizara ipi?!! Soma press release ya Museven labda utaelewa na kuacha matusi!
Kwa hiyo kinachotakiwa ni kuthibitisha kama anafaa.Ata ningekuwa Mimi,ningempa mwanangu,as long as anaqualify kufanya hiyo kazi
Trump aliwaajiri rasmi kama wasaidizi binafsi!!Kwani akiwa mtoto wa Rais au asingekuwa mtoto wa Rais na akawa na sifa kama walizonazo watanzania wengine kwa akili yako unafikiri asingepata au kuwa sehemu ya majadiliano au kuongoza msafara au ujumbe? Unafahamu watoto wa Trumph rais mstaafu wa Marekani pamoja na mkwe wake walikuwa na nafasi gani serikalini? Je uliona akipingwa na wamarekani kuwa amevunja katiba kuteua mtoto wake wa kumzaa? Kwani kuwa mtoto wa Rais ni vipi inamnyima haki ya kuwa serikalini? Au kufanya kazi hata ikulu?
Chifu Hangaya anataka kuigeuza nchi hii kuwa ya kifalme. Nawashangaa sana hawa watawala na machawa wao wasiotumia akili katika kuongoza nchi.Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Uchungu upi? Kwa jambo lipi lililovunja katiba ? Uchungu wako wa matatizo yako binafsi unawezaje kutusemea na sisi ?Mama anazidi Kututia Uchungu!!!
Una Utovu wa Nidhamu Dogoo!!Uchungu upi? Kwa jambo lipi lililovunja katiba ? Uchungu wako wa matatizo yako binafsi unawezaje kutusemea na sisi ?
Wewe bwege iwe chikala uletumpaHujitambui wewe
hao ambao ni wabunge na mawaziri ni wapi ambapo unaweza ukasema hawana sifa? Sifa ya mbunge ni ipi? Unafahamu au kufahamu sifa ya kuwa mbunge ni kujuwa kusoma na kuandika,kuwa raia wa Tanzania na mwenye umri wa kuanzia miaka 21, pamoja na kuwa na chama na kutotiwa hatiani kwa makosa ya ukwepaji kodi. Je sifa hizo hawana? Je wao kuwa mtoto au watoto au mkwe wa Rais imeandikwa wapi katika katiba yetu kuwa mtu haruhusiwi kuwa kiongozi au kuomba uongozi? Acha chuki zako binafsi zisizo na mashiko hapa. Kwani uhuru Kenyatta au George Bush hawakuwa watoto wa marais? Baba zao hawakuwa serikalini? Je iliwanyima fursa ya wao kutimiza ndoto zao?Trump aliwaajiri rasmi kama wasaidizi binafsi!!
Ikulu haitakiwi kunyoshewa vidole kwa vitendo hasi!!
Tuna rais ambae mtoto wake wa kike ni mbunge,mkwe wa raisi ni waziri,etc etc!