Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Nani kakwambia kuwa mimi najipendekeza humu,kwa ushahidi upi,kwa hoja zipi. Unasema uongo sijui wa kuibwa hela ,unaweza kuweka huo ushahidi? Unaweza kuweka nyaraka kuthibitisha madai yako au mradi tu umejikurupukia huko na kuja hapa kuropoka uongo wako hapa?
 
Mzee wetu BUTIKU yeye alikuwa msaidizi wa Rais kabisa, anyway huenda nyinyi mwajua zaidi
 
Nilidhai atakuwa amevnja sheria, kumbe ni katiba?
 
Museven anasema ameenda kama mwakilishi kiongozi wa ujumbe wa Serikali kuzungumzia masuala ya nishati ambayo yanafall wizara ya nishati. Kama yeye siyo kiongozi wa hiyo Wizara waseme kaenda kama nani huko serikalini
Wapi kasema ameeenda kama mwakilishi wa Serikali?
 
Kwani Mtoto wa Samia kafanya jambo gani baya? Kama ni mfanyabiashara haruhusiwi kuwekeza Uganda kwa kuwa ni mtoto wa Samia? Akili za wapi hizo?
 
Utaelewa tu!!! Tulia sindano iwaingie. Yule mama mshipa wa aibu ulishakatika.
Kwani Magufuli alikuwa na mshipa wa aibu??Kwanza afadhali Samia ana staha na haropoki ovyo kama mwendazake msimuonee Samia kwa sababu mwanamke anaendesha nchi kwa katiba iliyopo kama Nyerere mpiga kelele na kujisikiliza mwenyewe na kujichekesha mwenyewe aliona katiba mbovu kwa nini hakuirekebisha ni kwa sababu ilimnufaisha yeye na itaendelea kunufaisha wote mpaka ujinga wa Watanzania uondoke waamue kujikomboa kutoka kwa mkoloni mweusi mswahili sio kujifariji hapa. Kama mnaona hamna uhuru wa kuamua mambo yenu kama nchi mnasubiri nini??Change your situation by any means necessary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…