mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Haya ni maneno tu kiutendaji haikuwa hivo"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"
Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Duu labda Huwa anautoa Kwa maandishi.Wanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
bunge la Tanzania ni zooo ya kunenepeshea mifugo na mifugo yenyewe ndiyo hao wabunge...haya ndiyo matunda ya marais waislamu wa hii nchi baada ya siku chache utawasikia wana mlaumu Nyerere.Wanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
Tanganyika isipofutwa, umaskini utatuuaNchi ya wenyewe! Abdul hana cheo lakini anaendesha nchi.
Avatar yako inaakisi unachoongeaMichango ipo ya aina nyingi, kijamii, kiuchumi, nk
Pia yawezekana yupo katika kamati za bunge anaweza kutoa mchango huko
Pia kwa kuhudhuria mikutano ya bunge ili kuweka akidi Sawa ni moja ya mchango wake bungeni nk
Yeye aliruhusu kuhojiwa?"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"
Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
mhhhhh ila ni chombo !!Wanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
mhhhh ila ni chomboWanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
ACHA wivuuu Nan kamwambia ukienda kule lazima ukapige kelele sio WOTE wanaongea vya maana Bora huyu anakata kimya Jimbo lake Lina MAENDELEOWanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
Wazazi wenu walikuwa wavivu wa kutafuta maisha wameishia kuzaa matoto mavivu na yenye roho mbaya!Wanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
Wewe ni mtu DHAIFU sana wa NAFSI na UTU.....Huyu ni wa kumpopoa na mawe huku huku Uswahilini, afe na ateketee mazima. Ubaya Ubwela
Pamoja na ukweli uliouandika, unamisi pointi hii; analipwa mshahara kwa kuwa kwake mbunge, na si kwa michango anayoitoa akiwa bungeni. Naomba kuwasilisha.Wanabodi,
Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?
Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.
Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.
Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.
Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
View attachment 3257491
Ha ha ha haPamoja na ukweli uliouandika, unamisi pointi hii; analipwa mshahara kwa kuwa kwakei mbunge, na si kwa michango anayoitoa akiwa bungeni. Naomba kuwasilisha.
Hakika mkuu !ACHA wivuuu Nan kamwambia ukienda kule lazima ukapige kelele sio WOTE wanaongea vya maana Bora huyu anakata kimya Jimbo lake Lina MAENDELEO
Unalingine
Acheni wivuu