Pre GE2025 Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?

Pre GE2025 Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1000026094.jpg
 
Wanabodi,

Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?

Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.

Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.

Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.

Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?


View attachment 3257491

Kuna Viti Maalumu na viti vya Upendeleo.

Huyo ni Viti vya Upendeleo.
 
Michango ipo ya aina nyingi, kijamii, kiuchumi, nk

Pia yawezekana yupo katika kamati za bunge anaweza kutoa mchango huko

Pia kwa kuhudhuria mikutano ya bunge ili kuweka akidi Sawa ni moja ya mchango wake bungeni nk
Onyesha hiyo michango uliyoitaja kaifanya wapi.
 
ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.

Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?
Ukisikia ufisadi ndiyo kama huo.
Anaibia umma.

Watu wenye uwezo wanaenguliwa kwa fitna za kizushi, wanachomekwa mbumbumbu kisa connection, kujuana...
 
Michango ipo ya aina nyingi, kijamii, kiuchumi, nk

Pia yawezekana yupo katika kamati za bunge anaweza kutoa mchango huko

Pia kwa kuhudhuria mikutano ya bunge ili kuweka akidi Sawa ni moja ya mchango wake bungeni nk
Nadhani kitu cha muhimu ni tija ya uwepo wake Mjengoni. Je tija hiyo imeonekana?
Isiwe ni kama wanafunzi wanao hudhuria vipindi then at last wana ambulia Div zero. Nimetoa mfano tuu
 
Wanabodi,

Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?

Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.

Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.

Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.

Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?


View attachment 3257491
😆😆😆
 
Wanabodi,

Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?

Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.

Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.

Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.

Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?


View attachment 3257491
Nchi ya kusadikika
 
Muungano unatu cost vibaya mno.

Nyerere na usomi wake aliingia mkataba anaofanywa na mtu illiterate.

The most stupid, the most imbecilic land contract in the global history of nation formation.

Kuna siku litakuja jana jeshi moja lenye uchungu na haya mambo litafuta huu upumbavu wa Muungano ndani ya dakika kumi na tano za kuingia Ikulu.
 
Wanabodi,

Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?

Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.

Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.

Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.

Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?


View attachment 3257491
Kwani hao waliochangia wamelisaidia nn taifa hili?
Au ni hiyo michango ya sheria ya uchaguzi?
 
Wanabodi,

Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea?

Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia.

Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango mmoja tu ambao aliutoa mwaka 2018 huko.

Maana yake huyu , according to tovuti ya bunge , ana miaka takriban 6 HAJACHANGIA CHOCHOTE BUNGENI. Ila kila mwezi bila shaka anapokea mshahara wa serikali.

Naomba kuuliza, mtu kama huyu kwanini bado yuko bungeni? Anafanya nini?


View attachment 3257491
Hana mchango hata mmoja halafu hapo hapo ana mchango mmoja tu?.Kivipi? 🤔
 
Back
Top Bottom