Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ata uyo Pimbi humpati mana Pimbi japo andunje ila naye anataka mtoto mkaree na sio mwenye mwanya kama Pengo ..simaanishi yule Pengo ambaye ni Kadinali[/QUOTE
Ewe Mwanamume unayebishana na kina dada unataka tukueleweje???Haha yani huyu ndo handsome? Basi wanaume wengi kama sio wote ni ma handsome!
Unless kama kuna lingine.View attachment 1038811
Fanya uwe nayo binamu tupige mahelaBasi tu sijui kwa nn , sijawah kupenda kuwa na page ya udaku insta , Nina page yangu tu private .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Acha kushoboka...umeshaambiwa HAKI SAWA KWA WOTE ...sasa unavosema kua mwanaume huwezi kubishana na mwanamke sijui una mana gani au bado unaishi huko Chato sijui Kolomije??? Karibu Mjini kummmmanyooookooo
We taaira kweli mbona sisi tukisofiaga watoto wakaree wao wanakuja na kudiss?Wanawake wanasema yule mwanaume ni handsome wewe umekomaaa kubisha
Oooh huenda ukawa james delicious
Sitakujibu tena huwa sifukua mitaro am sorry
yaani Mimi miaka karibia ya minne sasa najuaga warumi ni ME, lakini kupitia msiba wa Ruge nimegundua ni KEKumbe we ni wa kike...ndo maana umbea mwingi...nilikuwa najiuliza huyu mwanaume gan kila saa anapost shudu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
We na ww unajipooza tu apo ina mana kuna Stanley wa kike siku izi?[emoji23][emoji23][emoji39]kumbe yule ni men???duh..
A level kamaliza 1991Huyo ni zaidi ya 30 piga mahesabu vizuri, Ruge alikuwa sekondari mwaka gani. Kukusaidia ni1988 kurudi nyuma
hata Mimi kwa kipindi changu cha miaka minne niliamini hivyo.siku zote najua huyu jamaa ni Mwanamume flani mpenda habari za wasanii.
Kama walivyo wanaume wengi sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waache wamwagike
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia alimpaga mimba kadenti ka primary ndo akamzaa uyo jamaa ndo mana ukicheki jamaa umri umeenda tofauti na watoto wengine. Kuna ukweli apo?A level kamaliza 1991
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] povu linawatoka hataree yaani mimi nashangaa mbona wao wakisema demu mzuri huwa tunawaacha wabishane wao kwa wao khaa wanaume wana wivu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani Mimi miaka karibia ya minne sasa najuaga warumi ni ME, lakini kupitia msiba wa Ruge nimegundua ni KE
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia nguvu kubwa sana kubishana....Haya endelea.Acha kushoboka...umeshaambiwa HAKI SAWA KWA WOTE ...sasa unavosema kua mwanaume huwezi kubishana na mwanamke sijui una mana gani au bado unaishi huko Chato sijui Kolomije??? Karibu Mjini kummmmanyooookooo
Ukiona nguvu yangu kubwa si utalowa sasa?