ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Unaongozwa na vitu gani?....tupe katiba tujione kama tuna fit au laaHiyo nimewaachia watoto kwa sasa mwanaume siongozwi na hivyo vitu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
F2 B😁😁😁😁😁😁We unaambiwa alimtia mimba denti wa primary wakati yeye yupo form 2 B....
Yule jamaa mtoto wake mkubwa ...we ukimuona unafikiri ana miaka mingapi kama sio over 30??
Labda WARUMI NI GAY
Hata mwanaume yupo kci & jojo ( jodeci) ,pia kumbuka kuna majina unisex , eg Jordan, Ashley , bahati,Alexis etc"JUJUH" sio jina la kike? Like seriously? Si kuna demu msanii tena wa mtoni japo sio kwa aziz ali anaitwa Jojo aliimba Too Little Too Late, ??
Sasa Jojo na Juju si yale yale tu? Kumbe saa nyingine wazazi ndo wanawajambiaga watoto wao na kuwapa gundu ....
Unamuita mtoto wa kiume JUJU afu utegemee awe na tabia za kiRijali?????
The Almighty God Must be Crazy to allow that!
Hebu nisaidie kumshangaa kidogo nimwambie hivyo nikaona ntamuudhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hando ni msalitiWalitakiwa kufanya Interview na huyo mgeni kutoka ubalozi wa US kama sikosei(Naweza kusahihishwa) Then vitendea kazi vilikuwa vinazingua toka siku nyingi.. na especially Mic. Na Walikuwa wanaulalamikia Uongozi lakini wakashindwa kurekebisha. Then siku walikuwa wafanye hiyo Interview na huyo Mheshimiwa wakajipanga wafanye Mgomo wote watatu(Hando,Fina na Masoud) Asubuhi Mgeni kafika kweli wakagoma. Ila Hando akawasaliti hakugoma. Ndiyo wakafukuzwa Clouds Masoud na Fina. Ila Hando akabaki hadi alivyoondoka mwenyewe kwenda EFM.. (kwa Mujibu wa Masoud aliwahi kuhojiwa siku za nyuma sana akaeleza namna hiyo)
Sent using Jamii Forums mobile app
adogo zetu
Sijawahi na sitegemei kumpa tamu mwanaume mweupe
Naanzaje labda?
Wanaume weusi ni deal mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kimuonekano tu ana sifa zote, kifua jamani kifua hicho
Uliona siku ile karimjee alipoenda mfariji nandy ebwana ndio bonge la dude bonge la dume bonge la gentleman.......oooih jesus
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]alafu majority wanKuaga hawana hela[emoji52]
Wazitolee wapi , na wengi wanakua wadangaji, Mimi wanaume wa hivyo napeleka wapi , mxiew wakafie huko , mwachi Ndo mwanaume bwana , wengine wanasindikiza tu wanaume
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hazina adhimu sana[emoji23][emoji23][emoji23]mie mwenyew nilikua nawananga balaa enzi sijàolewa yaan sikua kbs nawapenda[emoji23][emoji23]Mungu sio Tulia Ackson..hubby mm nikiendaga naye kwetu wanamwita myemen[emoji23][emoji23][emoji23]!burushi sio mburushi mwarabu sijui khaaa..mweupeee.sema madevu yameficha ..khaa..ila wanaume weusi ni hazina jman!
Hahahahaha kama anayajua na kuyamwaga maji atamzidi baba yake kuzitafunaTenaa, mwachi juu[emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaha hebu niache kwanzaUnaongozwa na vitu gani?....tupe katiba tujione kama tuna fit au laa
Wazitoe wapi?[emoji23][emoji23][emoji23]alafu majority wanKuaga hawana hela[emoji52]