Mtoto wa Simbachawene alimwa faini ya tsh. 250,000/=

Sheria inasemaje kuhusu hukumu ya makosa hayo matatu.

Hakuwa na kosa la kuzuia askari kutimiza wajibu wake?
 
Halafu utasikia hapa eti "Kwa mujibu wa shiria", sheria Tz hii?
 

Hapo kingeumana mkuu, dawa ni kumaliza pale pale.
 
Sheria inasemaje kuhusu hukumu ya makosa hayo matatu.

Hakuwa na kosa la kuzuia askari kutimiza wajibu wake?
Makosa aliyoshitakiwa nayo ndio hayo. Ile clip anatukana na pia anabishana na askari itakua ni edited labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…