Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshakuelewa, ila ataendesha tu50,000 ni bila kua na bima
Kabisaaa25M ingenyofolewa huko huko sera na taratibu
🤝🏻🤝🏻🤝🏻🤝🏻🫱🏻🫲🏽🫱🏻🫲🏽Ataendesha Mkuu,
Hakuna atakaehangaika kumlinda asiendeshe. Na siku akidakwa "wataongea" tu.
Traffic case ni kesi za kawaida sana hata angegonga akaua watu 10 bado adhabu yake ingekua siyo kubwa kesi za barabarani hazina mambo mengi labda uwe hauna lesen ndo inakuaga ngumu kidogo hata makosa aliyo yafanya huyo jamaa ni makosa ya kawaida tu ila kwakua ni mtoto wa kiongozi ndo maana imechukuliwa tofauti ila Sheria ni 1 tuTeh teh teh teh... Tanzania bwana nchi ya kijinga kabisa.
Sijasema mtoto wa Simba ana makosa ila mifumo yetu ni mibovu kabisa. Policcm
Mkariri sura yake, ukimwona tu moja kwa moja simu kwa Muliro.Unadhani ndo hataonekana road na gari? Labda sio Tz...ataendesha vizuri tu
Kwa hiyo yale matusi aliokua akitukana ni traffic case nayo?Mfumo gani wa kijinga? Traffic case ni kesi za kawaida sana hata angegonga akaua watu 10 bado adhabu yake ingekua siyo kubwa kesi za barabarani hazina labda uwe hauna lesen ndo inakuaga ngumu kidogo hata makosa aliyo yafanya huyo jamaa ni makosa ya kawaida tu ila kwakua ni mtoto wa kiongozi ndo maana imechukuliwa tofauti ila Sheria ni 1 tu
Tatizo Afrika sio kama ulaya Afrika matajiri hawafunguiJambo la msingi linabaki palepale kuwa hiyo Jeuri aliipata wapi?
Viongozi mnao teuliwa kumbukeni kuwa vyeo mlivyo pewa ni dhamana tu, acheni kuwalea watoto wenu vibaya kwa kuwajengea dhana mbaya kuwa wewe ndio kila kitu.
Tulitegemea adhabu iwe kifungo jela badala ya kulipa faini ili iwe fundisho kwa wale wote wanao jiona kuwa wao wapo juu ya sheria.
Siyo yeye tu hata watu wa kawaida hizo kesi wanazitusua,sheria zenyewe tu hazijakaa poaTeh teh teh teh... Tanzania bwana nchi ya kijinga kabisa.
Sijasema mtoto wa Simba ana makosa ila mifumo yetu ni mibovu kabisa. Policcm
Kama alietukanwa hajafungua kesi hawezi kuhukumiwa kwa kesi ambayo hajapelekwa nayo ilibidi alie tukanwa akafungue kesi ya jinai Kutoa lugha ya matusi lakin pia bado ni kesi ndogo tu inamalizwa hapo mahakama ya mwanzoKwa hiyo yale matusi aliokua akitukana ni traffic case nayo?
Ndio maana yangu hiyo bro.Siyo yeye tu hata watu wa kawaida hizo kesi wanazitusua,sheria zenyewe tu hazijakaa poa
Ova